mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
- Thread starter
-
- #41
Halafu mwanaume mwenyewe,sijui myao,Alikuwa kibaruA wa kujenga daraja ,aisee nimerisk kupita alipopita fala halafu ananionyesha kuwa wapo closeKuchukua single maza ni kuji_risk Sema tunakosa namna tuu πππ
nmekutafta sana wewe,, najaribu kukutag ikagomaYote kwa yote Singo maza ni watame sana.
Pole chifuuHalafu mwanaume mwenyewe,sijui myao,Alikuwa kibaruA wa kujenga daraja ,aisee nimerisk kupita alipopita fala halafu ananionyesha kuwa wapo close
Unaweza kuta ameshaoa, home kaacha mke na watotoHizi hasira Utafikiri ulikuwa na mpango wa kumuoa.
Eeeeh sawaSitafutwagi kwa tagging
Hata hivo niliacha mke na watoto,,hapa nimechanganya mafaili aiseeUnaweza kuta ameshaoa, home kaacha mke na watoto
Njoo pmBasi ninongβoneze hilo lisingo mama la jf π€
Kumbe wote wezi, endelea nae tu, punguza hasiraHata hivo niliacha mke na watoto,,hapa nimechanganya mafaili aisee
Umuoe sasa usimchezeeYote kwa yote Singo maza ni watame sana.
Kumradhi, Kumchezea ndio kupojeUmuoe sasa usimchezee
jumamosi poa kabisa ,,vip wewe unasemaje kuhusu mada apo juuVipi lakin sabato imeendaje?
SanaYote kwa yote Singo maza ni watame sana.
Ngoja nitarudi, nikasome desaKumradhi, Kumchezea ndio kupoje
Kama nimewahi kuwakosea wanisamehe.Sana
Ni kweli kabisa kama uliwakosea waombe msamahaKama nimewahi kuwakosea wanisamehe.
Sawa sawa mkuuMpo vizuri sana nawakubali mno