Waniue tuu...tena kuna single mama mmoja hapa jf jina lake kapuni aisee mbususu yake tamuuu😹😹😹 Masingo maza watakuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waniue tuu...tena kuna single mama mmoja hapa jf jina lake kapuni aisee mbususu yake tamuuu😹😹😹 Masingo maza watakuua
Mie nataka single maza msema kweli aniambie tuu kuwa mzabzab tutapiga threesome na bby daddy...huyo naweka ndni lakini hawa wanasema oh mie bby daddy siwezi mpea mbushsu tena najua kabisa huyu muongo.Muweke ndani ili aendelee kukupa yote, kisha utaona rangi halisi.
Acha hasira kumbuka hasira hasara kwenda kwenu hakuondoi ukweli kwamba aliyemzalisha ametaka picha yake aone namna ulivyompendezesha ili kesho na kesho kutwa amtafute akambandue huku wanakutukana hapo lazima ameshakula vyako cha msingi mshughulishe halafu m-dump kama roba la mavi.Aisee hawa watu sio kabisa,, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision , basi nikajikuta Nina hisia naye full. Sasa picha limeanzaje nimejikuta nipo hotelini, mara ngoja kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake si wanaongelea baba wa mtoto amemtafta atumiwe picha yake ,sijui nini ahh hapa nimetoka nje nawasha gari naenda kwangu , usenge huu
Jirani kwema, Mimi namshukuru Mungu nimekua ndani ya familia ya wazazi wawili nikimuona baba yangu mzazi wakiwa pamoja na mama yangu mzazi. Na ndoa yao ilifungwa 1967.Jirani kwema? Mbona unaporomosha mitusi??
Singo maza walikupiga na kitu kizito? 😹😹😹
Halafu emu acheni gubu na singo maza, utashangaa wewe mwenyewe toka utoto hujawahi kuiona sura ya baba yako mzazi, zaidi ya anko wako ambaye hajazaliwa tumbo nyumba moja na mama yako.!!
Basi acha shemeji malizia bia ya mwisho ukapumzike 😂😂😂Waniue tuu...tena kuna single mama mmoja hapa jf jina lake kapuni aisee mbususu yake tamuuu
Mzabzab 🤣🤣🤣Waniue tuu...tena kuna single mama mmoja hapa jf jina lake kapuni aisee mbususu yake tamuuu
Sasa baba wa mtoto asitumiwe picha?Aisee hawa watu sio kabisa,, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision , basi nikajikuta Nina hisia naye full. Kwanza nilishamuliza una mahusiano gani na mzazi mwenzio ,*akanijbu hamna kitu Sasa Leo picha limeanzaje ,nimeaga home nimesafiri , kumbe naenda jificha hotelini, sasa nipo hotel, nimemtoa bar ,nimemchukulia Bavaria, nimerudi room hoteli nianze kula mzigo, kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake,si mother anamwambia juma anakutfta umtumie picha ya mtoto,anajibu ntamtumia nikisijikia ,aisee nahisi bia zimekata, so acha amalize kuongea na simu ,mimi nimeshatoka nje , akimaliza kuongea atafte boda ,,mimi nilishawasha gari kitambo , usenge huu
Sasa baba wa mtoto asitumiwe picha?
Mambo vipi....wikend inaendaje?Mzabzab 🤣🤣🤣
Mie bia sinywi...ni mwendo wa sthodaaaaBasi acha shemeji malizia bia ya mwisho ukapumzike 😂😂😂
Soon utalipua uzi
Alibeba damu ya mtu kwa miezi 9 alafu we mpiga nyeto unataka uwaachanishe
alafu mwenzio anatambulika ukweni
Si ndio maana nimemwacha hotelini,manina yule aendelee na huyo kibarua ,Alibeba damu ya mtu kwa miezi 9 alafu we mpiga nyeto unataka uwaachanishe
alafu mwenzio anatambulika ukweni
Basi ninong’oneze hilo lisingo mama la jf ðŸ¤Mie bia sinywi...ni mwendo wa sthodaaaa
Kuchukua single maza ni kuji_risk Sema tunakosa namna tuu 😂😂😂Si ndio maana nimemwacha hotelini,manina yule aendelee na huyo kibarua ,
😹😹😹😹 Nitamshauri aunt yangu aolewe na wewe jirani yangu.!!Jirani kwema, Mimi namshukuru Mungu nimekua ndani ya familia ya wazazi wawili nikimuona baba yangu mzazi wakiwa pamoja na mama yangu mzazi. Na ndoa yao ilifungwa 1967.
Kama single mom niwema na watu bora mshauri kaka/mdogo wako aoe mmoja wapo jirani.