Yes mbususu haina wivu. Mie nitamuua sio kwa sababu ya mbususu bali kukiuka makubaliano.Hahaha si ushakubali mbususu haina wivu, magunia ya nini tena?
Sina uhitaji huo ,as long najitambua siwezi kuoa single mother, Pole mzee πππ hata huyo mtoto wa pili mchunguze vizuri sio wakoWewe ulishaenda kupima DNA na baba yako kuthibitisha kuwa ni mwanae?
ππππ Nina mambo mengi hukuHeeeee!
Siku hizi babu yangu Poor Brain ushamtosa kwa bahari!?
Ni kawaida yao huwa wanajidai wametulia, wanajidai wanaupendo, wanajidai wanaakili ya maisha , wanajidai wastaarabu hata umkosee anakuomba samahani yeye, huwa wanajidai hawana mawasiliano na baba watoto wao kumbe anakusubiri boya ujae kwenye mfumo
KweliNi kawaida yao huwa wanajidai wametulia, wanajidai wanaupendo, wanajidai wanaakili ya maisha , wanajidai wastaarabu hata umkosee anakuomba samahani yeye, huwa wanajidai hawana mawasiliano na baba watoto wao kumbe anakusubiri boya ujae kwenye mfumo umuoe.
ππ€£ mzabzabKuna mtu alisema anawapenda singomaza kwasababu wanatoa jicho kirahisi tu!
[emoji125][emoji125]
Mie hilo siwezi thibitisha nisiwe muwongoππ€£ mzabzab
Sasa kuwasiliana na baba mtoto wake shida iko wapi??Aisee hawa watu sio kabisa, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision, basi nikajikuta Nina hisia naye full.
Kwanza nilishamuliza una mahusiano gani na mzazi mwenzio , *akanijbu hamna kitu Sasa Leo picha limeanzaje, nimeaga home nimesafiri, kumbe naenda jificha hotelini, sasa nipo hotel, nimemtoa bar, nimemchukulia Bavaria, nimerudi room hoteli nianze kula mzigo, kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake, si mother anamwambia Juma anakutafuta umtumie picha ya mtoto, anajibu nitamtumia nikisijikia, aisee nahisi bia zimekata, so acha amalize kuongea na simu, mimi nimeshatoka nje, akimaliza kuongea atafute boda, mimi nilishawasha gari kitambo.
Sio kuona kaburi tu, Maana unaweza kuonyeshwa kaburi la uongo au la mchongoHuu ndio usenge ambao hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza uvumilia. Yaan uwe kwenye mahusiano uruhusu mwenzi wako aendelee kuwasiliana na mtu wake wa zamani haijalishi wamezaa au laa. Ndio maana wanasema kumuoa single mother hakikisha umeona kaburi la mzazi mwenzie.
Ajabu kabisa mtu tu unapita wivu wa nin??ni Sawa umeoa Halaf unaonea wivu mchepuko ππππHizi hasira Utafikiri ulikuwa na mpango wa kumuoa.
Mapenzi yanauma lakini πAjabu kabisa mtu tu unapita wivu wa nin??ni Sawa umeoa Halaf unaonea wivu mchepuko ππππ
Kwa mwanamke wa siku moja au mbili??hata mapenzi hayajanogaMapenzi yanauma lakini π
Sasa wewe ulitakaje, asipokee simu ya mama yake kusikia wito wake au? Hapo hotelini huyo Juma alikuzuia kula mzigo au ulikataa mwenyewe kwa ufala wako? Ma single mothers ni binadamu pia wenye mahitaji ya kimwili (nyege) na wanajielewa sana sema kuna baadhi yao ni kero kuwa nao kwenye mahusiano, mfano ulio hai mtu kama Hamisa Mobeto, IrenΔ Uwoya, Aunty Ezekiel, kudate watu kama hawa ni kujitafutia matatizo ya moyo tu.Aisee hawa watu sio kabisa, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision, basi nikajikuta Nina hisia naye full.
Kwanza nilishamuliza una mahusiano gani na mzazi mwenzio , *akanijbu hamna kitu Sasa Leo picha limeanzaje, nimeaga home nimesafiri, kumbe naenda jificha hotelini, sasa nipo hotel, nimemtoa bar, nimemchukulia Bavaria, nimerudi room hoteli nianze kula mzigo, kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake, si mother anamwambia Juma anakutafuta umtumie picha ya mtoto, anajibu nitamtumia nikisijikia, aisee nahisi bia zimekata, so acha amalize kuongea na simu, mimi nimeshatoka nje, akimaliza kuongea atafute boda, mimi nilishawasha gari kitambo.
Ulizaliwa na mwanamkeAisee hawa watu sio kabisa, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision, basi nikajikuta Nina hisia naye full.
Kwanza nilishamuliza una mahusiano gani na mzazi mwenzio , *akanijbu hamna kitu Sasa Leo picha limeanzaje, nimeaga home nimesafiri, kumbe naenda jificha hotelini, sasa nipo hotel, nimemtoa bar, nimemchukulia Bavaria, nimerudi room hoteli nianze kula mzigo, kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake, si mother anamwambia Juma anakutafuta umtumie picha ya mtoto, anajibu nitamtumia nikisijikia, aisee nahisi bia zimekata, so acha amalize kuongea na simu, mimi nimeshatoka nje, akimaliza kuongea atafute boda, mimi nilishawasha gari kitambo.
πππππππHizi hasira Utafikiri ulikuwa na mpango wa kumuoa.