Don't dare kutoka na single mother kama akili zako timamu

Don't dare kutoka na single mother kama akili zako timamu

Hahaha si ushakubali mbususu haina wivu, magunia ya nini tena?
Yes mbususu haina wivu. Mie nitamuua sio kwa sababu ya mbususu bali kukiuka makubaliano.
Akiamua kwenda kumpea mbususu mwanaume mwengine hamna shida as long as ananipa taarifa kwamba mzabzab sasa utakuwa unashare mbususu na huyu jamaa. Msingi mie nijue nashare mbususu na na i thats all i ask for...oh pia na uwepo wa threesome.
Kama demu anaenda kugegedwa kwa mwengine alafu hataki kufanya threesome huyo ni wakuchoma moto
 
Wewe ulishaenda kupima DNA na baba yako kuthibitisha kuwa ni mwanae?
Sina uhitaji huo ,as long najitambua siwezi kuoa single mother, Pole mzee 😂😂😂 hata huyo mtoto wa pili mchunguze vizuri sio wako
 
Mwanamke yoyote single maza ni chombo cha starehe useless hopeless mkojolee endelea na maisha yako achia wengine wajipigie... Singo maza hawastahili kuolewa ni madanga yanayo jificha ktk usingo maza
 
Kuna mtu alisema anawapenda singomaza kwasababu wanatoa jicho kirahisi tu!
[emoji125][emoji125]
 
Ni kawaida yao huwa wanajidai wametulia, wanajidai wanaupendo, wanajidai wanaakili ya maisha , wanajidai wastaarabu hata umkosee anakuomba samahani yeye, huwa wanajidai hawana mawasiliano na baba watoto wao kumbe anakusubiri boya ujae kwenye mfumo
Ni kawaida yao huwa wanajidai wametulia, wanajidai wanaupendo, wanajidai wanaakili ya maisha , wanajidai wastaarabu hata umkosee anakuomba samahani yeye, huwa wanajidai hawana mawasiliano na baba watoto wao kumbe anakusubiri boya ujae kwenye mfumo umuoe.
Kweli
 
Aisee hawa watu sio kabisa, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision, basi nikajikuta Nina hisia naye full.

Kwanza nilishamuliza una mahusiano gani na mzazi mwenzio , *akanijbu hamna kitu Sasa Leo picha limeanzaje, nimeaga home nimesafiri, kumbe naenda jificha hotelini, sasa nipo hotel, nimemtoa bar, nimemchukulia Bavaria, nimerudi room hoteli nianze kula mzigo, kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake, si mother anamwambia Juma anakutafuta umtumie picha ya mtoto, anajibu nitamtumia nikisijikia, aisee nahisi bia zimekata, so acha amalize kuongea na simu, mimi nimeshatoka nje, akimaliza kuongea atafute boda, mimi nilishawasha gari kitambo.
Sasa kuwasiliana na baba mtoto wake shida iko wapi??

shida ya wabongo sio waaminifu wanahisi kila mtu yuko hivo
 
Huu ndio usenge ambao hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza uvumilia. Yaan uwe kwenye mahusiano uruhusu mwenzi wako aendelee kuwasiliana na mtu wake wa zamani haijalishi wamezaa au laa. Ndio maana wanasema kumuoa single mother hakikisha umeona kaburi la mzazi mwenzie.
Sio kuona kaburi tu, Maana unaweza kuonyeshwa kaburi la uongo au la mchongo

Yani unatakiwa uone Death certificate ya huyo mume wake ikiwa na majina yake kamili. Pia uone angalau picha za siku ya msiba kwa uhakika zaidi.

Tena ikibidi uone ile picha mume akiwa kwenye jeneza na huyo mke akilia kwa uchungu.
 
Single mama wenyewe sasa
1720773929879.jpg
 
Aisee hawa watu sio kabisa, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision, basi nikajikuta Nina hisia naye full.

Kwanza nilishamuliza una mahusiano gani na mzazi mwenzio , *akanijbu hamna kitu Sasa Leo picha limeanzaje, nimeaga home nimesafiri, kumbe naenda jificha hotelini, sasa nipo hotel, nimemtoa bar, nimemchukulia Bavaria, nimerudi room hoteli nianze kula mzigo, kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake, si mother anamwambia Juma anakutafuta umtumie picha ya mtoto, anajibu nitamtumia nikisijikia, aisee nahisi bia zimekata, so acha amalize kuongea na simu, mimi nimeshatoka nje, akimaliza kuongea atafute boda, mimi nilishawasha gari kitambo.
Sasa wewe ulitakaje, asipokee simu ya mama yake kusikia wito wake au? Hapo hotelini huyo Juma alikuzuia kula mzigo au ulikataa mwenyewe kwa ufala wako? Ma single mothers ni binadamu pia wenye mahitaji ya kimwili (nyege) na wanajielewa sana sema kuna baadhi yao ni kero kuwa nao kwenye mahusiano, mfano ulio hai mtu kama Hamisa Mobeto, Irenę Uwoya, Aunty Ezekiel, kudate watu kama hawa ni kujitafutia matatizo ya moyo tu.
 
Aisee hawa watu sio kabisa, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision, basi nikajikuta Nina hisia naye full.

Kwanza nilishamuliza una mahusiano gani na mzazi mwenzio , *akanijbu hamna kitu Sasa Leo picha limeanzaje, nimeaga home nimesafiri, kumbe naenda jificha hotelini, sasa nipo hotel, nimemtoa bar, nimemchukulia Bavaria, nimerudi room hoteli nianze kula mzigo, kaniomba ngoja nimpigie mother aisee kwenye mazungumzo na mother yake, si mother anamwambia Juma anakutafuta umtumie picha ya mtoto, anajibu nitamtumia nikisijikia, aisee nahisi bia zimekata, so acha amalize kuongea na simu, mimi nimeshatoka nje, akimaliza kuongea atafute boda, mimi nilishawasha gari kitambo.
Ulizaliwa na mwanamke
Naamini una shangazi Dada na pengine mke. Ukimdharau single mother wa mtu umedharau hao niliokutajia

Mods mnaendekeza sana huu upuuzi wa discrimination na hate kwa kiumbe MWANAMKE
Mnafuta post za msingi lakini udhalilishaji huu mnaupendelea sana..

Mmekuwa wa mlengo fulani
Tumheshimu Tumthamini Tumjali na Kumtunza Mwanamke
 
Back
Top Bottom