CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Moja ya makosa makubwa tunayo fanya ni ku quit biashara.
How come umehangaika labda ulikuwa hulali, ulikuwa unashinda njaa kisa biashara yako.
Kuna wakati hata muda wa kusalimia ndugu hukuwa nao kisa biashara yako.
Watu mtaani kwenu wanajua wewe kwa sasa uko bise, ndugu zako wanakuona uko bise sana, Familia yako inakuona uko bise sana.
Ghafla ubise unakata na wanaanza kukuona upo. Hii ni mbaya sana jitihada zako zote zimekuja kuwa Zero.
HUTAKIWI KU QUIT KWA SABABU TIYARI USHA IMIA AU UKO KWENYE MAUMIVU SO KINACHO TAKIWA NI KUMALIZIA ILI ULE MATUNDA.
Hakuna Disapoint mbaya sana kama Quite.
QUITING NI MOJA YA GREAT DISAPOINT
How come umehangaika labda ulikuwa hulali, ulikuwa unashinda njaa kisa biashara yako.
Kuna wakati hata muda wa kusalimia ndugu hukuwa nao kisa biashara yako.
Watu mtaani kwenu wanajua wewe kwa sasa uko bise, ndugu zako wanakuona uko bise sana, Familia yako inakuona uko bise sana.
Ghafla ubise unakata na wanaanza kukuona upo. Hii ni mbaya sana jitihada zako zote zimekuja kuwa Zero.
HUTAKIWI KU QUIT KWA SABABU TIYARI USHA IMIA AU UKO KWENYE MAUMIVU SO KINACHO TAKIWA NI KUMALIZIA ILI ULE MATUNDA.
Hakuna Disapoint mbaya sana kama Quite.
QUITING NI MOJA YA GREAT DISAPOINT