EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #21
Imagine hilo guu linasapoti MZIGO kiasi gani πππNdio maana ana upaja na tako litakuwepo
Bangi nzuri kaka shida nyie mnawatumia mateja kui-judgeBangi nyingi jaribu kwenye ngorongoro kreta wakati unapandisha juu bangi imemea pambeni ya barabara upende wa bondeni ,π€£π€£π€£π€£
Wanadhani huku tanga machungwa yanajiotea tu Kama nyanya pori.Watu wa Dar wanadhani huku Njombe viazi na mahindi vya kuchukua tuu kama mchanga bure
Hawajui kama kitambaa cheupe chetu ni red stoneWatu wa dasalama wanadhani huku Moshi ndizi zinajiotea tu Kama magugu maji.
πHawajui kama kitambaa cheupe chetu ni red stone
πππ Kipind hicho unatoka uboyzn school unatoka na ugwadu kinoma, unaingia malindi unanua utamu unapiga unarudi shule mwepesiiiiiiπ
Sasa jeKumbe wee ni nyakisπππ
Niletee kindoo cha senene mkuuπ€£π€£π€£π€£Wanadhani huku bukoba senene ni kama sisimizi wakome π
Dah
Uwiiiii ππππSasa je
Wanadhani nyuki ni kama nzi eeh?πππWatu wa Dar na maeneo mengine wanadhan huku Tabora asali ni kama kamasi za mtu.Muda wowote anaweza kuwa nayo.
π€£π€£π€£Wanadhani nyuki ni kama nzi eeh?πππ
Nielekeze aisee π₯°π₯°