mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Wadhani huku Moshi pesa tunaziokota.... Vitambi vyetu visiwadanganye😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuona ndugu yangu😀
Itakuwa zigo kweli kwwli ukilichapa linaleta mawimbiImagine hilo guu linasapoti MZIGO kiasi gani 😀😀😀
😂😂😂 Mnadhani ni Kama sisimizi sioNiletee kindoo cha senene mkuu🤣🤣🤣🤣
Sisi wa Majengo sec hatukuwa na pigo hizo😁😁😁 Kipind hicho unatoka uboyzn school unatoka na ugwadu kinoma, unaingia malindi unanua utamu unapiga unarudi shule mwepesiiiiii
Majengo ilikua kama center ya bash za FEMA club, tulikua hatukosiSisi wa Majengo sec hatukuwa na pigo hizo
Saivi naskia imebadilishwa Hadi jinaMajengo ilikua kama center ya bash za FEMA club, tulikua hatukosi
Na ukiona una kuwa na uraibu kupitiliza na kitu chochote basi jua kwanza hujitambui,, hiko kitu hakikufai ukalazimisha,,,shida inakuwa yako wala si ya ulichotumia,,,sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu na kila kitu kipo kwa ajili ya mtu/watu husika!!Bangi nzuri kaka shida nyie mnawatumia mateja kui-judge
NI mbege na ndizi 🤣🤣🤣Wadhani huku Moshi pesa tunaziokota.... Vitambi vyetu visiwadanganye😂
Ukienda uwe umeshiba haswaa sio unakula chips kazu na fursana.Itakuwa zigo kweli kwwli ukilichapa linaleta mawimbi
🤣🤣🤣Na ukiona una kuwa na uraibu kupitiliza na kitu chochote basi jua kwanza hujitambui,, hiko kitu hakikufai ukalazimisha,,,shida inakuwa yako wala si ya ulichotumia,,,sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu na kila kitu kipo kwa ajili ya mtu/watu husika!!
Nyie watu wa mikoani mnadhani huku Tabora asali tunachota mtoni tu.
[emoji3][emoji3][emoji3]Mnafikiri Huku Tanga mapenzi yalipozaliwa ni kama watu hawaachiki kabisaa yan....
afu hatuna iliki nyingi kiasi hicho za kuweka kwenye maji ya kuoga kila siku
🤣🤣🤣Nyie watu wa mikoani mnadhani huku Tabora asali tunachota mtoni tu.
Kondoa na wadada wakulala na wajomba zao 😄😄Kwa hiyo Manyara na Katavi mmekuwa wanyonge hivyo si mjidai na nyama ya pori.
Beach kwenye mikoko?Wamikoani wanajua watu wa pwani kila mmoja anajua kuogelea bahari kama bahari ipo nje ya geti. Wengine huku maji ya kuogea mpaka tununue 🤣🤣