Don't trust women

Don't trust women

Usimkibali tena kimbia kabisaa. Ukimkubali tu anakubebea na mimba kabsaa alaf siku akipata bwana mwenye ela tena anakutelekeza na mtoto wako.
 
Maisha is going fast kabisa

Yaani juzi juzi apa kanikataa na kunitukana kinoma eti kisa amepata mwanaume ambaye kwao Wana uwezo wa pesa.

Aka ni sau mimi ambaye nilikosa usingizi ili ale vizuri na apendeze. Nika achwa na matusi juu pamoja na zaru eti Leo ana itaji msahada wangu.

Dah apa ndipo na amini dunia inazunguka. Yule aliye jiona mrembo kupita. Ka achwa kwa zarau Kama alivyo ni acha kwa zarau.

Sijui Kama na mimi ni msaidiye kwa zarau. Au ni mtupilie mbali kabisa na macho yangu
Inaitwa gigs effect. Pale anapokuacha na kudhani grass is greener in other side. Kumbe anapoenda ndio yanamkuta
 
Niwaheri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe unamtetea mwenzako wakati ulisema kua tabia yenu nikutupanga mafungu.????

MZEE NAKUSHAURI ACHANA NA HIO TAKATAKA
Mwandishi anasema anamsaidiya mi sina pingamizi katika hilo
 
wanaume tugonge tano, tuendelee na maisha tu
 
Hao viumbe tumeambiwa tuishi nao kwa akili licha ya kwamba ni wadhaifu, Sababu kuu ni moja 'TAMAA'
Wana tamaa sana, mpokee tena alafu atokee zungu lingine uone part 2 yake ....

Jiulize kwanini shetani hakumshawishi dingi yetu ADAM kula lile bibo?
 
Tangia nipigwe tukio nasoma tu ili nijue tunateseka wangapi nikiona tupo wengi nafarijika
Cheers mkuu
 
Maisha is going fast kabisa

Yaani juzi juzi apa kanikataa na kunitukana kinoma eti kisa amepata mwanaume ambaye kwao Wana uwezo wa pesa.

Aka ni sau mimi ambaye nilikosa usingizi ili ale vizuri na apendeze. Nika achwa na matusi juu pamoja na zaru eti Leo ana itaji msahada wangu.

Dah apa ndipo na amini dunia inazunguka. Yule aliye jiona mrembo kupita. Ka achwa kwa zarau Kama alivyo ni acha kwa zarau.

Sijui Kama na mimi ni msaidiye kwa zarau. Au ni mtupilie mbali kabisa na macho yangu
 
dharau
Maisha is going fast kabisa

Yaani juzi juzi apa kanikataa na kunitukana kinoma eti kisa amepata mwanaume ambaye kwao Wana uwezo wa pesa.

Aka ni sau mimi ambaye nilikosa usingizi ili ale vizuri na apendeze. Nika achwa na matusi juu pamoja na zaru eti Leo ana itaji msahada wangu.

Dah apa ndipo na amini dunia inazunguka. Yule aliye jiona mrembo kupita. Ka achwa kwa zarau Kama alivyo ni acha kwa zarau.

Sijui Kama na mimi ni msaidiye kwa zarau. Au ni mtupilie mbali kabisa na macho yangu
dharau✔
zarau❌
 
Back
Top Bottom