Kabinti karembo ila sijui kalifuata nini kwa mngoni zilla mwendawazimu!
na kuna yule wa tbc anatangaza kipindi cha "twende kanisani" alikua anatangaza "zamadamu" pia
sijui anakuaga kala maharage yule
Sipendi sauti yake..
Na kuna yule wa tbc anatangaza kipindi cha "twende kanisani" alikua anatangaza "zamadamu" pia
sijui anakuaga kala maharage yule
Kama humjui Zillah,seems we utakuwa mbana pua mpaka yameshakua madogo ka piliton..tandawazika kama humjui google so kila kitu LAzimA uulizeHuyo Zilla ni nani hapa town! tuwekeeni na picha
Naona mnapika majungu peoplez ,angalieni yasije kuwapasukia wenyewe ,cha msingi mwenye anaeona hisia zimejaa pipa,akampashe vipande vyake..good mornie..?!anakipaji cha ukatuni ,sauti kama ile inafaa ubongo kids
Kama humjui Zillah,seems we utakuwa mbana pua mpaka yameshakua madogo ka piliton..tandawazika kama humjui google so kila kitu LAzimA uulize
Yani ana manjonjo yanayokeraUmejuaje ?!!! Mi huwa ananiudhi !!
Yaa ni mzuri mzuri si mbaya saana ila mi nimependa zaidi ch.uchu zakeNi mzuri sana huyu msichana,ana ishi sinza,yupo poa ila ka virtz kake kanamsumbuaga dah,.
Anatangaza vzur sana yule dada mtu ambae hajui kutangaza ni dahuu
hivii hii radio ya wafu ipo eh...huku ni mwendo wa e.fm n capital...lol
du!..wivu kidonda!
Masistaduu uchwara lazima m-hate tu!
f u niccah..zikiitwa radio zinajozijielewa zitatoka zaid ya kutangaza -----..mweny akil ndogo kama ww usiyejua future yako ikoje ndo unashoboka kuzikiliza huo upuuzi wao wa kila siku..na ukome staki shobo za kuni. quote..kafie mbele huko paka la baa ww