SafiMadem kama hawa raha sana, unaazima ndinga kali unahakikisha mfukon hukosi laki2 unampeleka sehem nzuri ale mnaunga maeneo akishapiga savanna kazaa hajielew unakula kilaini kabisa afu una block.
Siyo Mbaya Kwa Kuanzia Wakati Una Kiu SanaKumbe Uganda napo ni pazuri nitaenda
Binafsi, mwanamke yeyote akiwa wa MAVAZI ya aina hiyo kwenye kadamnasi, sina hamu naye, hata awe mzuri vipi!Inakuwaje anatukalia uchi...
Na atataka muwape lifti watu wote anaowafahamu humo manjiani hata km hamuendi wanakoendaaHuyo ukimpakiza kwenye Gari anaenda anapungia watu mpaka anafika
Haya ni maisha tu na uzuri gari sio password ya kuzuia kifo wala kuupata ufalme wa mbingu. Hizo nyodo na kejeli ni sababu ya uzima anaompa munguPicha ya kwanza inaonesha dada mmoja anaitwa Dooren Kabareebe kutoka Uganda katika kipindi cha redio akiojiwa na kutanganza vigezo vyake marufuku mwanaume yoyote asiye na gari kumpigia simu,yeye wanaume wake ni wenye magari tu.
Picha ya pili.
Baada ya kumaliza kipindi redioni akanaswa na kamera za shilawadu akipanda bodaboda anarudi nyumbani kwake.
Tunao sikilizaga redio na kuangalia vipindi kwenye tv.