PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Huku ndiko imeanzia kama ulikuwa hujui tena doromee ya miaka ya zamani walikuwa wanadondoshea dawa ya macho matone mawili TuOmbeni Mungu Doremii isifike Dar, ikifika Dar walevi watakuwa wanaamka wamepasuliwa mayai.
Hii kitu hata huku Chugga ipo sana last night niliponea kuwekewa kitu kwa kinywaji changu nilipoenda wash room lakini mhudumu akaniokoaJeshi la polisi mkoani Njombe limewatahadharisha wananchi na wamiliki wa vyombo vya moto kuwa makini pindi wanapokuwa sehemu za starehe ili kuepuka kuwekewa vilevi katika vinywaji vyao na kusababisha kuibiwa magari yao, baada ya kupewa vinywaji ambavyo vinachanganywa na ugoro na Valium ambavyo husababisha kulewa zaidi na kupoteza fahamu, mtindo huo unajulikana kwa jina la "Doromee".
Kumbe huko Dar ndiyo maana unasema huo mtindo ukifika Dar? Kwa taarifa yako Dar uko siku nyingi na watu wameshaushtukia siku hizi. Wacha hiyo ya kuweka kwenye pombe, ulikuwepo mtindo wa kupaka kwenye matiti. Unachukuwa mrembo matiti saa 6 anakuambia ''mimi bila kunyonya matiti yangu sijisikii kabisa'' Kama ni wa mkoani kama wewe unafakamia kama paka mwenye njaa. Utakuja kujitambua kesho yake na kila kitu kimekwenda.Mkuu DAR ni mji mbaya sana umejaa mashetani ndio maana kuna dhambi mbaya ya kila aina. Hata unipe chochote siwezi kukaa Dar.
Jamaa hajui hayo Dar ni mambo ya zamani kabisa. Dawa zimepakwa mpaka kwenye matiti ya warembo itakuwa kuweka kwenye pombe?Huku ndiko imeanzia kama ulikuwa hujui tena doromee ya miaka ya zamani walikuwa wanadondoshea dawa ya macho matone mawili Tu
Dunia ya sasa kuna mtu anaenda washroom na kuacha kinywaji mezani bila uangalizi wa kuaminika? Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.Hii kitu hata huku Chugga ipo sana last night niliponea kuwekewa kitu kwa kinywaji changu nilipoenda wash room lakini mhudumu akaniokoa
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
NgusukiiGeji
Nipo mkoani lakini usinidhanie bwege. Keep quite.Kumbe huko Dar ndiyo maana unasema huo mtindo ukifika Dar? Kwa taarifa yako Dar uko siku nyingi na watu wameshaushtukia siku hizi. Wacha hiyo ya kuweka kwenye pombe, ulikuwepo mtindo wa kupaka kwenye matiti. Unachukuwa mrembo matiti saa 6 anakuambia ''mimi bila kunyonya matiti yangu sijisikii kabisa'' Kama ni wa mkoani kama wewe unafakamia kama paka mwenye njaa. Utakuja kujitambua kesho yake na kila kitu kimekwenda.
Sisi huku Igunha tunagida full masaaDunia ya sasa kuna mtu anaenda washroom na kuacha kinywaji mezani bila uangalizi wa kuaminika? Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.
Of course siyo kila anayekaa mikoani awe bwege na pia siyo kila anayekaa Dar ni mjanja.Nipo mkoani lakini usinidhanie bwege. Keep quite.
Unaweza ikimbia bar mkeo akakuekea home duhNeno doromee mara ya kwanza nimelisikia kwenye stori ya George mosenya inayoitwa RIPOTI KAMILI. mhme aliwekewa dawa hiyo akauchapa usingizi wa kutosha kisha mke akaenda kuliwa nje dah
Sasa si unaweza ukazikwa kabisa.Ni hatari, ni noma yaani ukizima leo, unaamka kesho kutwa, ni kama mauti
sema wa Kino, uku Temeke hakuna uo ujingaHivi ni kwamba huko DAR Wanawake ni wachache hadi wanaume wanatamaniana?
Hahahahah ya dunia mengUnaweza ikimbia bar mkeo akakuekea home duh
Na ya home uchomoki.maana anakupiga dozi mazingira yapo mengi.dah dumuni kwenye maombiHahahahah ya dunia meng
Huko Temeke ndio balaa, kesi nyingi mahakamani za hayo mapepo ni za Tmksema wa Kino, uku Temeke hakuna uo ujinga
πππ Well saidNa ya home uchomoki.maana anakupiga dozi mazingira yapo mengi.dah dumuni kwenye maombi