dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
unazingua, labda Tmk ya ChatoHuko Temeke ndio balaa, kesi nyingi mahakamani za hayo mapepo ni za Tmk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unazingua, labda Tmk ya ChatoHuko Temeke ndio balaa, kesi nyingi mahakamani za hayo mapepo ni za Tmk
Duuh!Ombeni Mungu Doremii isifike Dar, ikifika Dar walevi watakuwa wanaamka wamepasuliwa mayai.
Are you sure.Duuh!
Mayai - the balls!
Ni hatari, ni noma yaani ukizima leo, unaamka kesho kutwa, ni kama mauti
Halafu sijui itajitambulishe huko mbele ya mwendazake kiongozi mkuu wa malaika?Hukawii kupitiliza
Wapi Baba LevoHii ndiyo dawa ya wanaume wa Kigoma wanaoiba bia mezani mkiwa bar au club.