dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 23,901 Reaction score 58,103 Apr 7, 2021 #41 Bujibuji said: Huko Temeke ndio balaa, kesi nyingi mahakamani za hayo mapepo ni za Tmk Click to expand... unazingua, labda Tmk ya Chato
Bujibuji said: Huko Temeke ndio balaa, kesi nyingi mahakamani za hayo mapepo ni za Tmk Click to expand... unazingua, labda Tmk ya Chato
Iselamagazi JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 6,020 Reaction score 6,161 Apr 7, 2021 #42 Idugunde said: Ombeni Mungu Doremii isifike Dar, ikifika Dar walevi watakuwa wanaamka wamepasuliwa mayai. Click to expand... Duuh! Mayai - the balls!
Idugunde said: Ombeni Mungu Doremii isifike Dar, ikifika Dar walevi watakuwa wanaamka wamepasuliwa mayai. Click to expand... Duuh! Mayai - the balls!
Idugunde JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 6,404 Reaction score 6,969 Apr 7, 2021 #43 Iselamagazi said: Duuh! Mayai - the balls! Click to expand... Are you sure.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Apr 7, 2021 #44 Hii ndiyo dawa ya wanaume wa Kigoma wanaoiba bia mezani mkiwa bar au club.
OTIS JF-Expert Member Joined Sep 7, 2011 Posts 2,252 Reaction score 832 Apr 7, 2021 #45 Bujibuji said: Ni hatari, ni noma yaani ukizima leo, unaamka kesho kutwa, ni kama mauti Click to expand... Hukawii kupitiliza
Bujibuji said: Ni hatari, ni noma yaani ukizima leo, unaamka kesho kutwa, ni kama mauti Click to expand... Hukawii kupitiliza
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Apr 8, 2021 Thread starter #46 OTIS said: Hukawii kupitiliza Click to expand... Halafu sijui itajitambulishe huko mbele ya mwendazake kiongozi mkuu wa malaika?
OTIS said: Hukawii kupitiliza Click to expand... Halafu sijui itajitambulishe huko mbele ya mwendazake kiongozi mkuu wa malaika?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Apr 8, 2021 Thread starter #47 Daudi Mchambuzi said: Hii ndiyo dawa ya wanaume wa Kigoma wanaoiba bia mezani mkiwa bar au club. Click to expand... Wapi Baba Levo
Daudi Mchambuzi said: Hii ndiyo dawa ya wanaume wa Kigoma wanaoiba bia mezani mkiwa bar au club. Click to expand... Wapi Baba Levo