Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kiongozi wa Chama amesaini kitabu Cha Wageni na kukutana na Katibu Mkuu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mwanga Katibu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Ndugu, Mathias Kanyika Msemo kumpa salaam za pole kwa niaba ya chama Cha ACT Wazalendo.
Kiongozi wa Chama yuko ziarani Mkoani Kilimanjaro ya ujenzi wa chama na kuzungumza na Wananchi.