Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Rushwa na vurugu zimeikumba CHADEMA katika uchaguzi wa Taifa 2025 uliofanyika Januari 13 na 16, ambapo mabaraza ya vijana (Bavicha), wazee (Bazecha), na wanawake (Bawacha) yalichagua viongozi wapya. Hata hivyo, baadhi ya wanachama walidaiwa kupokea rushwa, jambo lililosababisha vurugu kwenye ukumbi wa kupigia kura, ambapo polisi walilazimika kuingilia kati.
Soma, Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Mvutano mkali unaendelea kati ya wagombea wa Uenyekiti, Freeman Mbowe na Tundu Lissu, kutokana na tofauti za kisiasa na ushawishi wao. Januari 21, 2025 inatarajiwa kuwa siku ya kumalizika kwa uchaguzi, ambapo mustakabali wa CHADEMA utaamuliwa.
Soma: ACT Wazalendo waelezea rafu walizokutana nazo katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kwenye uzi huu nitakuwekea matukio yote yanayohusisha matukio ya rushwa na mambo mengine ambayo yametia dosari kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA.
Matukio ya CHADEMA yaliyojaa rafu katika Uchaguzi wa Mabaraza na Uenyekiti 2025
Soma, Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Mvutano mkali unaendelea kati ya wagombea wa Uenyekiti, Freeman Mbowe na Tundu Lissu, kutokana na tofauti za kisiasa na ushawishi wao. Januari 21, 2025 inatarajiwa kuwa siku ya kumalizika kwa uchaguzi, ambapo mustakabali wa CHADEMA utaamuliwa.
Soma: ACT Wazalendo waelezea rafu walizokutana nazo katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kwenye uzi huu nitakuwekea matukio yote yanayohusisha matukio ya rushwa na mambo mengine ambayo yametia dosari kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA.
- Vurugu zaibuka tena usiku huu Uchaguzi wa BAWACHA. Rushwa yatajwa
- Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha, Wafuasi wa Lissu na Mbowe wazichapa
- CHADEMA walia na rafu kuelekea Uchaguzi wa Mwenyekiti. Team Lissu waliwa vichwa ili kumpa ushindi Mbowe
- Vurugu zazuka tena uchaguzi BAWACHA, Polisi waingilia kati na watu kadhaa wakamatwa
- Lema: Rushwa imekithiri kwenye uchaguzi wetu
- Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe Rose Mayemba adai kufanyiwa fujo ofisi za CHADEMA
- Mbowe na genge lake wanapofanya yale wanayolalamikia CCM, wanapoteza justification ya kulalamika chaguzi zijazo
- Mbowe adhibiti kura zaidi ya 700 za wajumbe wa mkutano mkuu wa chama. Wawekwa kambini na kupewa malazi, vyakula na vinywaji bure
- Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye
- Wajumbe: Tumepewa hela ili tumchague Mbowe, sisi tunamtaka Lissu
- Aliyegundulika si mjumbe halali atimuliwa kwa ulinzi mkali Uchaguzi CHADEMA