Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Je ni kweli hayo, tupe data kamili ndg?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajua mkuu tunaenda kwa system hii habari hakuamua yeye peke yake ilitoka juu! Mi sioni tatizo kama iliamuliwa na kina ben na yeye kama mtekelezaji akatekeleza!
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.
NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.
Hivi sasa TANROADS ina kesi nyingi mahakamani zilizosababishwa na maamuzi yake yasiyoheshimu sheria.......................alijipatia umaarufu kwenye bomoabomoa ambayo ilifukarisha watanzania wengi bila ya fidia....................................................aliokolewa na fisadi lowassa wakati akiwa PM katika kashfa ya upoteaji wa zaidi ya bilioni kumi za barabara ambazo wengi waamini alizielekeza kibindoni kwake.................Waswahili husema ukiona debe tupu ujue halitaacha kutika......................na huyu Magufuli anatika kwa sababu ni mtupu....................ukiona karne hii ya 21 kiongozi anahangaika kurukia shahada ya mwenzie na yeye aonekana ana PHD ujue huyo hatufai............................
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.
NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.
Tatizo CCM hawawezi kutoa Waziri Mkuu kwenye makabila "influential" - ukichukia haya shauri yako, japo haijaandikwa mahali bali huo ndio kumuenzi JKN (RIP).
Acheni majungu na fitna kwa watu wanaofanya kazi za wananchi na siyo za mafisadi. Ndiyo tunaelewa kuwa hakuna mtu aliyekamilika kwa 100% lakini kwa hayo unayoyazusha kwa Magufulu ni vigumu mno jamii kukuelewa. Hebu tafakari, ni waziri yupi aliyeweka rekodi kama ya Magufuli kwa ufanisi anaopata kila anapopewa wizara hata zile ambazo wengine mlifikiri kuwa hazina mchango wowote katika ukuzaji wa mapato ya serikali?
Hayo unayotaka kutuaminisha ni dhahiri kuwa umetumwa na mafisadi uanze kumchafua mtu muhimu katika uongozi wa nchi yetu. Tunamhitaji sana magufuli hata kama ataomba kugombea uraisi 2015 ni mtu anayefaa na anaweza. Tunachotaka kuona kutoka kwa viongozi ni matokeo mazuri ya kazi zao. Magufuli ameweza kutoa matokeo mazuri kwenye kila wizara aliyopewa.
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.
NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.
NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.
Kuna tetesi kuwa wale samaki waliobatizwa jina la samaki wa magufuli alitengeneza pesa nzuri kama kamisheni ya kuwahifadhi kwa mmiliki wa cold room mwenye asili ya kiasia kule mwenge. Maana hakukuwa na logic kuwatoa kwenye cold room ya meli ukawapeleka kwenye cold room binafsi halafu serikali ilipie ada ya uhifadhi huo ulikuwa ufisadi uliotukuka.
roho chafu ya ukabila inakutafuna wewe.