Zimemuharibu vibaya mno nilimuangalia mpaka nikamuonea hurumaCream zimechangia kumzeesha na kumharibu vibaya mno
Huyo mbona mhenga wa kitambo sana kwa sisi tunaemjua toka akiwa msichana akifanya kazi Agip pale Msimbazi petrol station early 1990s. Kwa sasa ni mhenga sana atakua anakaribia kuhit 60-65 au tayari .Kuna siku nilimuona Dotnata, amekuwa mtu mzima. Kweli maisha ya mwanadamu ni kama maua
Nilimshangaa sababu namjua tokea. Zamani watu wanazeeka Ila sio vileHuyo mbona mhenga wa kitambo sana kwa sisi tunaemjua toka akiwa msichana akifanya kazi Agip pale Msimbazi petrol station early 1990s. Kwa sasa ni mhenga sana atakua anakaribia kuhit 60-65 au tayari .
Hata yeye itakuwa anajiogopa nadhaniZimemuharibu vibaya mno nilimuangalia mpaka nikamuonea huruma
Oyaaa korosho jinianza kukaya au Bado?We Abdala, unadhani kila mtu anaishi daslamu?
Weka maelezo na picha ili na sisi wa Tandahimba tupate cha kuchangia.
Nimekwazika sana!
Nimekwazika sana!
Jamiiforum ni sehemu ya watu kumalizia stress zaoMkuu mbona una kwazika na mambo mdogo...
Itakua mikorogo imefanya yake, hawa wanawake muda wa kutamba ni mfupi sana. Uwa zikifika dakika za majeruhi na mikorogo yao uwa wanatisha sana. Kama hawa ma celebrity njaa wa bongo wape miaka 5 mingine ndio utajua uzee ni safari yetu wote... Inshaallah mwenye enzi mungu atujalie mwisho mwema...Nilimshangaa sababu namjua tokea. Zamani watu wanazeeka Ila sio vile
Shez a pretty face though..uzuri wa asili anao
Kwishney habari yake, mkorogo huo. Wapo wa umri wake wapo vizuri tu, labda na stress za maisha pia zinachangia mtu kukongoroka haraka.. yupo vacant au occupied???Allah amfanyie wepesi.
Wanawake wengi Sana huwa wanadhani watakaozeeka haraka ni wanaume tu, huwa Wako bize Sana kukoboa sura zao wakidhani watabaki vischana milele kumbe ni swala la muda tu, Mungu amlinde amuongezee siku za kuishi mpaka atembelee mkongojoKuna siku nilimuona Dotnata, amekuwa mtu mzima. Kweli maisha ya mwanadamu ni kama maua.