Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Dotnata by FM ACADEMIA
Tamka “mamaa Dotinataa dekoresheni” kwa sauti ya Nyoshi el sadat[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dotnata by FM ACADEMIA
Uko serious Mkuu?Huyu dotnata alipata ajali mbaya ya kuuungua na moto usoni, nadhani Yale majeraha ndo yamepelekwa haya
Ni kweli ilitokea hapo nyuma kidogo, na habari ilisambaa sana, she was bad injured, na ndomana effect IPO mpaka LeoUko serious Mkuu?
"Kaka yako alikua rafiki, wa Pete na kidole sikuhizi simuooni, baada ya vikao vya familia yenu, wanasema Mimi ni maskini, nifanyaje nakupenda Sana"Tamka “mamaa Dotinataa dekoresheni” kwa sauti ya Nyoshi el sadat[emoji4]
Mimi sikumjua hadi nikamuuliza msanii mwenzie nilikuwa naye akanihakikishia NI yeyeZimemuharibu vibaya mno nilimuangalia mpaka nikamuonea huruma
hapa ndiyo yupo kwa transition phase au vipi
Hata mm nilisikia kua alipata ajali mbaya sn. Hiyo imechangia kuharibika muonekano wakeHuyu dotnata alipata ajali mbaya ya kuuungua na moto usoni, nadhani Yale majeraha ndo yamepelekwa haya
Mkuu kumbe tupo pamoja hapa Tandahimba?We Abdala, unadhani kila mtu anaishi daslamu?
Weka maelezo na picha ili na sisi wa Tandahimba tupate cha kuchangia.
Nimekwazika sana!
Ulitaka umuone akiwa Marehemu?Kuna siku nilimuona Dotnata, amekuwa mtu mzima. Kweli maisha ya mwanadamu ni kama maua.
Ana pacha wake kumbuka.... Hata mim nilimuona. Anaish gomsi nadhan kama sio mombasa ya ukonga ile.. aisee kababuka ngoz. Ila enz zake alikua level za kina sepengaNilimshangaa sababu namjua tokea. Zamani watu wanazeeka Ila sio vile
Sepenga level zake zilikuwa za juu sana!Ana pacha wake kumbuka.... Hata mim nilimuona. Anaish gomsi nadhan kama sio mombasa ya ukonga ile.. aisee kababuka ngoz. Ila enz zake alikua level za kina sepenga
Ndio ana pacha wake kweli huyu nimekumbuka, wahaya hawa waliojaaliwa weupe, maana nshomile wengi ni ma black beauty. Enzi zake alikitisa jiji alikua akitoka na ma don wa mjini.. hii Enzi ya FM Academia tayari umri ulikua unaanza kukimbia ni vile alikua anakula dakika za lala salama aka Fergie time.Ana pacha wake kumbuka.... Hata mim nilimuona. Anaish gomsi nadhan kama sio mombasa ya ukonga ile.. aisee kababuka ngoz. Ila enz zake alikua level za kina sepenga
Kwani I wa mhenga ni dhambi? Uzee ni fahari, siyo wote wanajaliwa kufika. heshimu Watu nawe utakuwa mhenga, hata ungekuwa malkia/ mtalme.Kuna siku nilimuona Dotnata, amekuwa mtu mzima. Kweli maisha ya mwanadamu ni kama maua.
Kwaio mzee miaka ya kuanzia 1999-2004 mlikua hamna TV?We Abdala, unadhani kila mtu anaishi daslamu?
Weka maelezo na picha ili na sisi wa Tandahimba tupate cha kuchangia.
Nimekwazika sana!
Kheee hivi wanawake nani aliwaroga na ma mikorogo? Yani mimi na weusi wangu napaka tuu vaseline ya watoto