Dotnata amekuwa mhenga

Ana pacha wake kumbuka.... Hata mim nilimuona. Anaish gomsi nadhan kama sio mombasa ya ukonga ile.. aisee kababuka ngoz. Ila enz zake alikua level za kina sepenga
Sepenga level zake zilikuwa za juu sana!
Halafu huyu Dotinata ameupata u_star wakati umri umeshaanza kusogea.
 
Ana pacha wake kumbuka.... Hata mim nilimuona. Anaish gomsi nadhan kama sio mombasa ya ukonga ile.. aisee kababuka ngoz. Ila enz zake alikua level za kina sepenga
Ndio ana pacha wake kweli huyu nimekumbuka, wahaya hawa waliojaaliwa weupe, maana nshomile wengi ni ma black beauty. Enzi zake alikitisa jiji alikua akitoka na ma don wa mjini.. hii Enzi ya FM Academia tayari umri ulikua unaanza kukimbia ni vile alikua anakula dakika za lala salama aka Fergie time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…