Dotto Magari: Wanaondesha Gari za IST ni Washamba, Wapiga Mizinga, Wakopaji Wakubwa, Waongo, Wanafiki na wapenda Majungu mno

Dotto Magari: Wanaondesha Gari za IST ni Washamba, Wapiga Mizinga, Wakopaji Wakubwa, Waongo, Wanafiki na wapenda Majungu mno

Mleta huu Uzi GENTAMYCINE hata Baiskeli tu sina / hana, ila nimeamua / kaamua kuwa Mjumbe wa kuleta hiki alichosema Dotto Magari.

Kazi Kwenu wenye IST zenu.

Imeisha hiyo.....!!
Mi sababu ninayoisikia kwa wanakuja ki wa ist ni ubanaji wake mafuta,hayo mengine ndo nayasikia hapa!
 
Back
Top Bottom