GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Pole sana Mkuu kwa kuwa na IST.Mshamba ni yeye na pia anaonyesha amekosa elimu.
Wasio hata na baiskeli wao siyo kazi kwao??Mleta huu Uzi GENTAMYCINE hata Baiskeli tu sina / hana, ila nimeamua / kaamua kuwa Mjumbe wa kuleta hiki alichosema Dotto Magari.
Kazi Kwenu wenye IST zenu.
Imeisha hiyo.....!!
Kumbe na Wewe na Ujanja wote una IST Mkuu?Mwambie achane nywele aache ushamba😊
Sina IST mkuuKumbe na Wewe na Ujanja wote una IST Mkuu?
We IST unaionaje dogo? gari ya 12 M sokoni unaidharau.Wewe una hata bike?Kumbe na Wewe na Ujanja wote una IST Mkuu?
Sikuizi bongo ukishakiwa na mdomo tu unapewa airtime is how fani ya uandishi imeshuka kiasi hikoUnawezaje kumuelewa mtu aliyekuwa kibaka anakaba watu,mpiga ndole kwenye public transportation? Waandishi wa habari kukosa content kila wakati kumuhoji mtu mjinga kama yule,nikujivunjia heshima
Mi sababu ninayoisikia kwa wanakuja ki wa ist ni ubanaji wake mafuta,hayo mengine ndo nayasikia hapa!Mleta huu Uzi GENTAMYCINE hata Baiskeli tu sina / hana, ila nimeamua / kaamua kuwa Mjumbe wa kuleta hiki alichosema Dotto Magari.
Kazi Kwenu wenye IST zenu.
Imeisha hiyo.....!!