Double Standard ndio italiangamiza Taifa

Double Standard ndio italiangamiza Taifa

Kwema Wakuu!!

Serikali iwe macho, tena macho haswa katika kushughulikia baadhi ya Mambo Kama ya kina Ole Sebaya.

Sebaya apewe anachostahili kisha na wengine waliotumika kufanya uhuni na kuvunja sheria washughulikiwe.

Kumshughulikia Ole Sebaya pekee hata Kama ana makosa na kuwaacha wengine kutampa Credit kubwa Sebaya na kuonekana anaonewa na serikali itaingia katika mgawanyiko usio wa lazima.

Nashauri, baada ya Sebaya kupewa haki zake, basi na wengine wanaofahamika wenye tuhuma wafikishwe kizimbani ili kuondoa double Standard.

Wanaofahamika.

Nawasilisha
Ole atapewa haki yake kama ambavyo wengine ambao bado wawajasweka lupango watakavyopata haki yao bila upendeleo. Vita subra.
 
Kwema Wakuu!!

Serikali iwe macho, tena macho haswa katika kushughulikia baadhi ya Mambo Kama ya kina Ole Sebaya.

Sebaya apewe anachostahili kisha na wengine waliotumika kufanya uhuni na kuvunja sheria washughulikiwe.

Kumshughulikia Ole Sebaya pekee hata Kama ana makosa na kuwaacha wengine kutampa Credit kubwa Sebaya na kuonekana anaonewa na serikali itaingia katika mgawanyiko usio wa lazima.

Nashauri, baada ya Sebaya kupewa haki zake, basi na wengine wanaofahamika wenye tuhuma wafikishwe kizimbani ili kuondoa double Standard.

Wanaofahamika.

Nawasilisha

Naunga mkono hoja , isiwe kwa sabaya tu , wateule wengi wa jiwe walifanya madudu ya kutisha ,wale wote waliotumia magenge ya wahalifu na ujambazi sheria ichukue mkondo wake.
 
Kwema Wakuu!!

Serikali iwe macho, tena macho haswa katika kushughulikia baadhi ya Mambo Kama ya kina Ole Sebaya.

Sebaya apewe anachostahili kisha na wengine waliotumika kufanya uhuni na kuvunja sheria washughulikiwe.

Kumshughulikia Ole Sebaya pekee hata Kama ana makosa na kuwaacha wengine kutampa Credit kubwa Sebaya na kuonekana anaonewa na serikali itaingia katika mgawanyiko usio wa lazima.

Nashauri, baada ya Sebaya kupewa haki zake, basi na wengine wanaofahamika wenye tuhuma wafikishwe kizimbani ili kuondoa double Standard.

Wanaofahamika.

Nawasilisha
wataje, unategemea serikali ijue kila kitu, wataje engine.
 
Naunga mkono hoja , isiwe kwa sabaya tu , wateule wengi wa jiwe walifanya madudu ya kutisha ,wale wote waliotumia magenge ya wahalifu na ujambazi sheria ichukue mkondo wake.

Naam Mkuu.

Waliwalazimisha na kuingilia TISS wakawatumikisha watakavyo.
 
Kwema Wakuu!!

Serikali iwe macho, tena macho haswa katika kushughulikia baadhi ya Mambo Kama ya kina Ole Sebaya.

Sebaya apewe anachostahili kisha na wengine waliotumika kufanya uhuni na kuvunja sheria washughulikiwe.

Kumshughulikia Ole Sebaya pekee hata Kama ana makosa na kuwaacha wengine kutampa Credit kubwa Sebaya na kuonekana anaonewa na serikali itaingia katika mgawanyiko usio wa lazima.

Nashauri, baada ya Sebaya kupewa haki zake, basi na wengine wanaofahamika wenye tuhuma wafikishwe kizimbani ili kuondoa double Standard.

Wanaofahamika.

Nawasilisha
Yaani wewe hata kama angekua ole sende ama DA B ama yeyote ungesema haya haya

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kwema Wakuu!!

Serikali iwe macho, tena macho haswa katika kushughulikia baadhi ya Mambo Kama ya kina Ole Sebaya.

Sebaya apewe anachostahili kisha na wengine waliotumika kufanya uhuni na kuvunja sheria washughulikiwe.

Kumshughulikia Ole Sebaya pekee hata Kama ana makosa na kuwaacha wengine kutampa Credit kubwa Sebaya na kuonekana anaonewa na serikali itaingia katika mgawanyiko usio wa lazima.

Nashauri, baada ya Sebaya kupewa haki zake, basi na wengine wanaofahamika wenye tuhuma wafikishwe kizimbani ili kuondoa double Standard.

Wanaofahamika.

Nawasilisha.
Naunga mkono hoja.

1. Kumshughulikia Ole Sebaya peke yake wakati wapo wengine ni double standard/ aka ubaguzi

2. Kuwashughulikia wa awamu ya jiwe pekee wakati wapo wengine awamu zingine ni double standard/ aka ubaguzi. Itaonekana kama MNA hasira na marehemu

3. Kushughulikia makosa baadhi tu wakati yapo makosa ya ufisadi ya kutisha nchi hii ni double standard/ aka ubaguzi
 
Kwema Wakuu!!

Serikali iwe macho, tena macho haswa katika kushughulikia baadhi ya Mambo Kama ya kina Ole Sebaya.

Sebaya apewe anachostahili kisha na wengine waliotumika kufanya uhuni na kuvunja sheria washughulikiwe.

Kumshughulikia Ole Sebaya pekee hata Kama ana makosa na kuwaacha wengine kutampa Credit kubwa Sebaya na kuonekana anaonewa na serikali itaingia katika mgawanyiko usio wa lazima.

Nashauri, baada ya Sebaya kupewa haki zake, basi na wengine wanaofahamika wenye tuhuma wafikishwe kizimbani ili kuondoa double Standard.

Wanaofahamika.

Nawasilisha
Kina nani?
 
Back
Top Bottom