Doubts over Kenya, Uganda rail funding as China snubs meet

Doubts over Kenya, Uganda rail funding as China snubs meet

Kuna kitu sielewi, kama hii Reli ya Kenya haifiki Uganda, ina maana itakuwa imeshia Nairobi au sijui Mji gabi nchini Kenya, sasa si itakuwa hasara kubwa kwa Wakenya? Kwa maana itakuwa haina maana yoyote ile kwani huwezi kuendesha Reli kwa nauli za abiria tu, hapo hapo kuna ushindani ya mabasi pia hivyo siyo abiria wote watakaotumia hii Treni matokeo yake kuishia kuwa white elephant project na Wachina kuja kutembelea kama Watalii miaka ijayo kuona kazi ya watu wao, basi na hizo Stesheni zote zitageuka kuwa magofu tu na Wapokoto watafugia Ng'ombe!
Hivi nyinyi mnajengea Uganda na Rwanda reli. That is one sick reasoning. I can't wait to use our railway line and like many Kenyans, we will enjoy the ride, the convenience and the scenery. Can you imagine riding through tsavo and Nairobi national park with a pristine view of the tallest building in Africa.
 
Hivi nyinyi mnajengea Uganda na Rwanda reli. That is one sick reasoning. I can't wait to use our railway line and like many Kenyans, we will enjoy the ride, the convenience and the scenery. Can you imagine riding through tsavo and Nairobi national park with a pristine view of the tallest building in Africa.
Sisi lengo letu ni Congo, Burundi, Rwanda, Uganda, S. Sudan, Central Africa, Zambia, Malawi na Zimbabwe. Huu ni mwanzo tu.
 
Sijawahi kuona nchi inajenga Reli kwa ajili ya matumizi ya Utalii tu, tena wa kuja kuangalia Maghorofa na wanyama?
You and your fellow country men are a completely confused and beyond stupid lot...sgr ya kenya ina unganisha nairobi(capital city)..mombasa(port city)..nakuru(agribusiness hub)..na kisumu counties(port city) hadi malaba mpakani na uganda.hata uganda isipojenga upande wao haitatupunguzia lolote......we are building infrastructure for the benefit of kenyans
 
Yaani watz bado tu mko hapo. Mnangoja sgr isifaulu huku inaelekea naivasha. You guys are sick. Latest news ni kuwa serikali imeshaanza ku-discuss nauli za abiria na mizigo.
I think you guys are living in some crazy wonderland. Wengine wanangoja Vita vya kikabila Kenya, wengine wenu wanangoja alshabab ishambulie. My goodness. Aren't we big trouble.
Yaani jirani anaendeleza maendeleo yake alafu after 20years your brothers will be trying to enter Kenya illegally.
the thing is u'll b alone n repayment of the debt will be a long day dream
 
tusubirini jameni tuone mambo yatakavyo tendeka..mbona mna haraka hivi watanznia...dont celebrate yet...
 
alafu mbona kachukua habari nusu nusu? hehe watanzania mna wivu...yaani hamwezi watakia wakenya mazuri....mleta mada...malizia news hii inavyosema..umechukua 20 percent mahali wanaposema uncertainty ukajisahaulisha maksudi wanaposema mambo kama haya
Kenya has already signed a commercial contract for phase 2C, which will run through Kisumu-Yala-Mumias to Malaba.

China Road and Bridge Corporation (CRBC) is scheduled to build a modern Sh14 billion port in Kisumu, which will be useful in connecting the rest of EAC states through Lake Victoria.

A modern container port in Kisumu is likely to turn the town into a trade hub for neighbouring countries such as Tanzania, Uganda, Rwanda and Burundi.

For decades, Kisumu port registered robust business boosted by a reliable railway system and maritime vessels that ferried cargo to ports such as Mwanza and Bukoba in Tanzania and Jinja and Port Bell in Uganda.

Uganda is yet to start building its section of the SGR while Kenya’s first phase, which runs from Mombasa to Nairobi, is 98 per cent complete and is expected to be operational by June.
The first phase of Uganda’s SGR is expected to start this year and is being built by China Harbour Engineering Company. It is expected to take four years to complete.



 
wamesoma tu uncertainity wakakimbia kufanya conclusion zinazowafurahisha wao wenyewe.
hawa wanaelewa maana ya neno hilo kweli? umesahau hawa ni wabongo? wacha na wao waendelee ku celebrate...watapigwa na butwaa
 
Tehehehee. This is a NO story. Uncertainty is the word. It means there are gray areas which will be streamlined anyway
 
All countries make decisions according to their Intrests,if Uganda find it cheaper to build their sgr with Tanzania, well and good. we need to focus first on the Kenya interest and that's having sufficient infrastructure network across the country.

80% of cargo coming from Mombasa is kenyan, SGR will transport only 50 % of the cargo from the port, so whether or not UG and the rest are roped in, it'll still be beneficial to us.

Hii reli imejengewa wakenya, mbona mnasahau?
 
You and your fellow country men are a completely confused and beyond stupid lot...sgr ya kenya ina unganisha nairobi(capital city)..mombasa(port city)..nakuru(agribusiness hub)..na kisumu counties(port city) hadi malaba mpakani na uganda.hata uganda isipojenga upande wao haitatupunguzia lolote......we are building infrastructure for the benefit of kenyans
Na kuna ile ya Lamu mpaka Juba loading>>
 
Back
Top Bottom