DOWANS AWARD is unconstitutional

Ruta, I suggest you put injunction on DOWANS CASE, am sure you will get support. Watanzania tuko na wewe.
I thank you ! BIG UP! Sasa kumekucha, umetufungua macho wengi. Nilikuwa GIZANI na namna wajanja walivyojitengenezena wizi wa mali zetu. Tupambane mpaka kielewe!
 

We are a team.....man...........
 
I thank you ! BIG UP! Sasa kumekucha, umetufungua macho wengi. Nilikuwa GIZANI na namna wajanja walivyojitengenezena wizi wa mali zetu. Tupambane mpaka kielewe!

Always knowledge is power...........................
 
nakuunga mkono Bw Ruta na ukiongezea hitimisho la report ya Dr Harrison alisema hiyo kampuni ni fake/brief case company, na infact hao wahusika walitakiwa kuwa wameshtakiwa, wakaishia kumstaki gire wa kariakoo, sasa from that point of view Serikali ina badilika na kuwaonyesha watu hawa ni halali? ni vitu vya ajabu kweli kweli, kisa wao ndio wenye magereza, polisi, na majaji ndio wana teu wao, ushahidi ndio wata peleka wao, brela wana ishikilia wao, wenye kutoa matamko ni wao ag, waziri husika na pm, shimbo wao, intelegensia ya kipolisi wao
 
Pesa za tozo ya Dowans zimelipwa.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…