Ali Muhsin Al Barwany
Member
- Jun 5, 2023
- 33
- 84
- Thread starter
- #21
Lumumba ni wapi yakhe, nipe location mie nipo ScotlandHaya wahi posho yako hapo lumumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lumumba ni wapi yakhe, nipe location mie nipo ScotlandHaya wahi posho yako hapo lumumba
Wazanzibari mnatamba sana awamu hii, kuleni kwa urefu wa kamba zenuUna bandooo?
Seen
Didn't you see that we struggle for freedom. Tuna raha ipi?Wazanzibari mnatamba sana awamu hii, kuleni kwa urefu wa kamba zenu
Umeusoma?TATIZO SIO DP WORLD,
TATIZO:.....
MKATABA
MKATABA
MKATABA
Je mkataba wao ni wa kihuni kama wa Tanzania?Kazi iendeleeView attachment 2657114
Mkatapa ni wa muda gani?Umeusoma?
Articles zipi zina shida gani?
Nimesifia nini mkuuBaada ya kuhongwa kanzu na alkasusu ya bure umeleta bandiko la kusifia kampuni ilioingia mkataba wa kimangungo na serikali yako
Mkataba wa kihuni unakuaje?Je mkataba wao ni wa kihuni kama wa Tanzania?
Mkatapa ni nini mkuuMkatapa ni wa muda gani?
Dah mkuu mbona unanihukumu kwa jina langu? [emoji23]Mtu unaitwa micucu unakosaje kazi ?
Mkataba ni wa muda ganiMkatapa ni nini mkuu
Sasa mkuu Bandari ya Zanzibar ni sawa na Bandari ya kilwa sasa kampuni gani ya kimataifa iende kuwekeza kilwa ?Wanapaka sukari Chroloquine ili kufunika machungu ya mkataba wa Tanzania, wakisema DP World IPO mpaka Australia basi ni vizuri watupe na mkataba tuuone kama ni wa kipuuzi kama wetu pia na tuwaulize Je kwanini Zanzibar haipendi maendeleo ya bandari yao?
KabisaSasa mkuu Bandari ya Zanzibar ni sawa na Bandari ya kilwa sasa kampuni gani ya kimataifa iende kuwekeza kilwa ?