DP World Australia

DP World Australia

Baada ya kuhongwa kanzu na alkasusu ya bure umeleta bandiko la kusifia kampuni ilioingia mkataba wa kimangungo na serikali yako
 
Wanapaka sukari Chroloquine ili kufunika machungu ya mkataba wa Tanzania, wakisema DP World IPO mpaka Australia basi ni vizuri watupe na mkataba tuuone kama ni wa kipuuzi kama wetu pia na tuwaulize Je kwanini Zanzibar haipendi maendeleo ya bandari yao?
Sasa mkuu Bandari ya Zanzibar ni sawa na Bandari ya kilwa sasa kampuni gani ya kimataifa iende kuwekeza kilwa ?
 
Back
Top Bottom