DP World kuchukua Eneo la Chuo Cha Polisi Kurasini

DPW inatugawa kama Taifa
 
Kwa hili sitavumilia nipo tayari nijichome moto hadharani kwaajili ya watanzia wenzangu, labda Dp world wakinipa mgao na mimi ndo ntakaa kimya

Bila hivyo ntajichoma moto hadharani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama chuo kinapelekwa sehemu nyingine kuna shida gani? Kwani wanachukua kuondoka nalo ?
Kwanini na Ikulu na Chuo Kikuu vyote wasivihamishe eneo liwe kubwa zaidi ?

Sababu naona hakuna shida yoyote la kuhamishwa kama unakwenda sehemu nyingine..
 
Kwa hili sitavumilia nipo tayari nijichome moto hadharani kwaajili ya watanzia wenzangu, labda Dp world wakinipa mgao na mimi ndo ntakaa kimya

Bila hivyo ntajichoma moto hadharani
Mambo ya Tunisia yalianza hivi hivi kiutani[emoji2][emoji51][emoji26],serikali iachane na mkataba
 
Duh, hivi kweli wewe ni Mtanzania? Mbona kila hoja inayoigusa DPW unajitokeza kutetea? Hivi una maslahi gani na hao wageni?

Unakata sana aise
Huyo ni mmojawapo ya wanaofaidi asali mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…