Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kama ni kule bandarini,itakua vizuri tu,maana pale palikua na msikiti,mjerumani akaleta dhulmaNasikia tetesi na eneo la St Josephs Catherdal nalo linachukuliwa
Gari zote binafsi na daladala ziishie mnazi mmoja na k/koo, watu watembee kwa mguu kuja posta. Njia za posta mpya zifumuliwe, twende kwa kasi ya maendeleo na DPWWafike hadi Posta mpya yote..
Nchi ina mapori ya kutosha hii kuhamisha chuo siyo issue kubwa.Kuna siku nilienda hapo kurasini nikawasikia askari wakiongelea hilo la kuhamishwa kwamba kuna mwekezaji analichukua eno hilo.
Kama huyu mwekezaji anaanza kupewa maeneo nyeti ya taasisi za serikali kama polisi na hilo unalodai ataingiza magari yake kwa ajili ya usafirishaji na hivyo kuua biashara za wazawa ni mwendelezo wa matumizi ya mabavu ya baadhi ya viongozi wenye maslahi yao binafsi dhidi ya matakwa ya raia na kinyume na maslahi ya nchi.
Kabla ujajichoma Moto uje nnikufffphillle farlla wwKwa hili sitavumilia nipo tayari nijichome moto hadharani kwaajili ya watanzia wenzangu, labda Dp world wakinipa mgao na mimi ndo ntakaa kimya
Bila hivyo ntajichoma moto hadharani
Ahaaa,Tandahimba
vyote vinawekana, maana Samia ameyafanya haya kwa wajomba na wenzangu katika ImaniNasikia watajenga msikiti wa gorofa pale. Dp oyee, dp safiii,
mtu wa pwani utamjua na dini ile. Wajenge msikiti na vidimbwi/visima vya kutawaziaKama ni kule bandarini,itakua vizuri tu,maana pale palikua na msikiti,mjerumani akaleta dhulma
CCM oyeeeMambo ya mkataba yameanza utekelezaji haraka sana, huku mipango ikianza kufanyika Ili ndugu zetu DP world waanze kufanya kazi mara moja.
Sijui mambo ya Mikataba, lakini DP world katika mkataba wao watachukua pia Eneo la Chuo Cha Polisi Kurasini Kinachosimamiwa na kamishna Msaidizi Mambo Sasa.
Sijajua kwanini serikali haitagazi hatua mbalimbali zinazoendelea za utekelezaji wa mkataba huu , ambao Umekuwa ukipingwa Kwa nguvu na watu wanna, Mwabukusi, Slaa, Padri kitima na Mdude.
Wataalamu Wa serikali na wawakilishi wa DP world walitembelea maeneo ya chuo Cha Polisi Kurasini na kufanya na kuchua vipimo vya mipaka, huku dp world ikijiandaa kulipa fidia zote za uhamishaji wa chuo hicho Cha jeshi.
Jingine linaloendelea , ambalo silijui rasmi. Ni kuwa DP world ataingiza magari zaidi ya 2000 yaani maroli Kwa ajili ya kisafirisha mizigo nje ya nchi, inavyosemekana DP world ndio atakuwa transporter pekee wa kisafirisha mizigo nje ya nchi, na watanzania watabaki Tanzania.
Hizi ni habari zinaukweli lakini nashangaa kwanini Serikali ya Chama Tawala haitoi maendeleo ya utekelezaji wa mradi huu ambao unaendelea kimya kimya kama alivyosema Mangwea "KIMYA KIMYA"
Hii ndio sababu hasa ya nyie na maaskofu kuupinga huu uwekezaji kila kitu kitajiweka wazi ni suala la muda tu.vyote vinawekana, maana Samia ameyafanya haya kwa wajomba na wenzangu katika Imani
Mkuu umenunuliwa kwa Shilingi ngapi huo Ukibaraka unaoufanya dhidi ya hawa Akina Sultan wageuze watu watumwa. Hii nyuzi pekee umetoa povu zaidi ya posts 45.Hii ndio sababu hasa ya nyie na maaskofu kuupinga huu uwekezaji kila kitu kitajiweka wazi ni suala la muda tu.
Hii Imani nadhani Ina kauchawi ndani yake.vyote vinawekana, maana Samia ameyafanya haya kwa wajomba na wenzangu katika Imani