DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

PM alichozungumza huko Arusha ni kama anatuchanganya tu. Sasa habari za TICTS na DPW wapi na wapi.
 
Faiza ni mdini hatari! Mpaka naogopa hata kuonana naye uso kwa uso
Huyu ni hatari sana.

Yaani level yake ni za wale wa kujitoa muhanga kwa ajili ya kutetea dini.

Sijui AL-QAEDA au AL-SHABAB hawajamuona kama anawafaa??
 
Tukutane forodhani home znz tujipongeze kwa ushind wetu sisi kama DP world!!
Nawatakia kila la kheri. Mie kwetu ni pwani ya Mkuranga. Umeshawahi kuisikia Boza beach?

Tena tuna bandari ya ngarawa hapa za kwenda Mafia, Kisiju, lindi, Mtwara tunawasubiri kwa hamu DP World waje kufanya yao.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Nawatakiabkila la kheri. Mie kwetu ni pwani ya Mkuranga. Umeshawahi kuisikia Boza beach?

Tena tuna bandari ya ngarawa hapa za kwenda Mafia, Kisiju, lindi, Mtwara tunawasubiri kwa hamu DP World waje kufanya yao.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Acha basi 🤣🤣🤣🤣
 
Faiza ni mdini hatari! Mpaka naogopa hata kuonana naye uso kwa uso
Kama unamaanisha Uislam, Uislam ni mwema sana. Usiogooe.

Bofya hapo chini uelewe ni nani Muislam 👇🏾 usishikwe akili zako kwa kudanganywa👇🏾


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
1. Uhuru umepitiliza
2. Ujuaji mwingi
3. Njaa (Kuna wakosoaji wengine wanatumika na maadui zetu kuhakikisha hatupigi hatua) rejea battle la Bwawa la mwl Nyerere na ujasiri wa mwendazake.
4. Kutafuta kutrend na kuonekana (wanasiasa wanaingia hapa)
Acha umama kuwa serious tumia kichwa kufikiria hakuna mkataba hapa
 
Mpiga debe Bibi FaizaFoxy hatujaona ukijibu hapa!
 
Asiyejua aendako hapotei
Nenda na mawazo yako mkuu hutapotea kwa kuwa hujui wandako
 
Weka swali moja moja. Tumalize tuhamie lingine.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
ni promo tu hauna majibu nini?
Mkataba unajijibu wenywe, usiwe na hofu. Vijana wsalioundaa walifanya kazi nzuri sana.

MlNimemwabia muuliza swali aweke swali moja moja, tufanye uchanbuzi vizuri. Hizi ni social media siyo chumba cha mtihani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…