DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Akina salama.leku ositazi wana elimu kuzidi TEC
Tena hata mtoto wa miaka 10 kaelimika zaidi yao.

Aliye-elimika atayakubali haya:

'Siyo Chumbani. Ni Ngome.' Mapadre Wakatoliki Mashoga Wazungumza​

Mgogoro wa kujamiiana katika Kanisa Katoliki unaenda zaidi ya unyanyasaji. Inaingia kwenye moyo wa ukuhani, ndani ya chumbani ambacho kinanasa maelfu ya wanaume.

MILWAUKEE - Gregory Greiten alikuwa na umri wa miaka 17 wakati makasisi walipanga mchezo. Ilikuwa ni mwaka wa 1982 na alikuwa kwenye mapumziko na wanafunzi wenzake kutoka St. Lawrence, seminari ya Kikatoliki ya wavulana wanaopata mafunzo ya kuwa mapadri. Viongozi walimtaka kila mvulana aweke daraja ambalo angependelea kuwa: kuchomwa moto zaidi ya asilimia 90 ya mwili wake, mlemavu wa miguu au shoga.
Kila mmoja alichagua kuunguzwa au kupooza. Hakuna hata mmoja aliyetamka neno β€œshoga.” Waliuita mchezo huo Mchezo wa Maisha.
Somo lilikwama. Miaka saba baadaye, alipanda juu kwenye dirisha la bweni lake la seminari na kuning'iniza mguu mmoja ukingoni. β€œKwa kweli mimi ni shoga,” Baba Greiten, ambaye sasa ni kasisi karibu na Milwaukee, alikumbuka kujiambia kwa mara ya kwanza. "Ilikuwa kama hukumu ya kifo."
Kabati la Kanisa Katoliki la Roma linategemea mkanganyiko usiowezekana. Kwa miaka mingi, viongozi wa makanisa wamewafukuza makutaniko mashoga kwa aibu na kusisitiza kwamba β€œmielekeo ya ushoga” ni β€œmchafuko.” Na bado, maelfu ya makasisi wa kanisa ni mashoga.

Soma zaidi: β€˜It Is Not a Closet. It Is a Cage.’ Gay Catholic Priests Speak Out (Published 2019)
 
Kwa nguvu mnayotumia hata hili Ni tango pori.

Mmesha edit Sasa mnataka kujisafisha. Ila mkataba halisi Ni ule wa kiingerza.

Tunamkabidhi sultan bandar zetu Tena pamoja na anga la nchi.
 
Kuliko kuendeleza hizi soga ambazo hazibadili maana Wala yaliyomo kwenye mkataba. Bora kujadili mengine yanayowezekana Kwa sasa. Kwa mfano;

1. Miundo mbinu,
2. Kilimo na mifugo,
3. Usafirishaji,
4. Nishati,
5. UDAKU,
6. TAARABU.
 
Nani kasema Mkataba uvunjwe tunasema vipengele vyenye changamoto vifanyiwe ukarabati

Zingine mbwembwe tu
 
Kuliko kuendeleza hizi sogaambazo hazibadili maana Wala yaliyomo kwenye mkataba. Bora kujadili mengine yanayowezekana Kwa sasa. Kwa mfano;

1. Miundo mbinu,
2. Kilimo na mifugo,
3. Usafirishaji,
4. Nishati,
5. UDAKU,
6. TAARABU.
Waambie Maaskofu
 
Lete ambao waliandikiana na sweden mwaka 1991 uone Kama terms zinafanana na za kwetu. Kuwa walikuwa wakipewa ardhi yoyote wanavyotaka.
Pia elewa sio kuwa ishu Ni Dubai,ama udini sie tunachotaka terms za kulipa Taifa letu,hata waje watu tokea Galaxy ya mbali from milk way galaxy. Pia lazima mktaba uwe na namna ya kuuvunja pia na ukomo wake, wafanyakazi ratio itakuwaje, Mambo mengi mno. Wewe Ni mtu mzima I think. Don't let other things to hinack thinking mind, or kuwa biased.
Mktaba uboreshwe iwe Ni win win situation
 
Kumbe hata huelewi unachokiandika.

Hilo ndiyo tatizo kuu la Watanzania. Ujinga.

Lakini sikushangai, utafiti unasema 79% ya Watanzania ni wehu.
Na ndo nmegundua afadhali wajinga kuliko ninyi Wapumbavu. Ambao ni wengi zaidi na mnakuwa hatari. Wajinga wakielimishwa huelimika. Wapumbavu hushupaza shingo katika upumbavu wao. Na ndo maana tumefika hapa kuwa na Viongozi wakuu Vilaza.
 
Mkataba Hauna ata kipengele ambacho kinaelezea baada ya mda Tanzania tupokea kiasi kadhaa Cha pesa vile vile ending date sijaiona[emoji15]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli. 79% ni wehu ambapo kati yao 35% ni wapiga kura na kila kwenye chaguzi wanaipigia kura CHAMA TWAWALA!

Kumbe hata huelewi unachokiandika.

Hilo ndiyo tatizo kuu la Watanzania. Ujinga.

Lakini sikushangai, utafiti unasema 79% ya Watanzania ni wehu.
Bisa
 
Ni kweli. 79% ni wehu ambapo kati yao 35% ni wapiga kura na kila kwenye chaguzi wanaipigia kura CHAMA TWAWALA!


Bisa
Mtaongea kila aina ya lugha mwaka huu, mama kishapiga mabao Arusha leo, karuka.
 
Kwani huo mkataba una nini???hatuwataki hao waarabu! Kwanza hao jamaa wana roho mbaya huko makwao tena wana ubaguzi sana wa kidini, hatuwataki tu! Waende zazimbar huku tanganyika hatuwqtaki
Hamuwataki wewe na kanisa lako.

Sisi tunawasubiri kwa hamu.

Wewe hata harufu ya bandari huijuwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…