DP world na Ongezeko la Ajira 43,907 Bandarini

DP world na Ongezeko la Ajira 43,907 Bandarini

Uwekezaji wa DP world katika bandari zetu Tanzania, umepokelewa kwa mitazamo tofauti. Wengi wameonesha kutokubaliana nao kwa asilimia kubwa na kudai maboresho kadha wa kadha kwa manufaa ya nchi yetu huku wanaoupigia chapuo wakisema mkataba huo ni bora na utasaidia kuboresha utendaji bandarini na kuongeza ajira kwa vijana wa Kitanzania.

Kufuatia wasilisho lilitolewa na waziri mwenye dhamana, inaonekana kwamba kutakua na ongezeko la ajira bandarini kutoka 28,000 mwaka 2021/22 hadi 71,907 2032/33 sawa na ajira mpya 43907 ambalo ni ongezeko la asilimia 157, bila shaka ongezeko hili kubwa la ajira ni habari njema kwetu sote.

Kufuatia habari hiyo nikachukua muda kufiriki namna ajira hizo mpya zitatengenezwa. Nikabaini kuwa zaweza kuwa katika makundi haya.
1. Operators
2. IT
3. Administrators
4. Drivers
5. Engeneers n.k

Pia, nikajiuliza katika miaka kumi ijayo, ajira hizi zitakuwa na soko? ndipo nikakumbuka zimwi la AI.
Ukitazama promotion video za DPW utaona bandari inayoendeshwa kisasa kwa kutumia semi au automatic machinery na wafanyakazi wachache. Jambo hili pia lilishuhudiwa na mbunge yule mwenye phd aliyemwona binti mdogo anabonyeza tu container zinajipanga, akachukua na namba ya simu kwa follow-ups! mbali na AI, nikakumbuka kuwa mwekezaji mpya pia atakuaja na skilled labor kutoka uarabuni ili kuwezesha shughuli zake kwenda vema, hivyo kuna ajira ambazo hatutazipata.

Ndipo nilipogundua kuwa pamoja na maneno mazuri ya waziri mwenye dhamana, ndoto hii ya ajira nyingi inaweza isifikiwe kwa sababu AI imeshika kasi katika sekta zote hadi upasuaji wa wagonjwa, vile vile ukilinganisha faida za Automation na machinery katika kampuni utaona kuna faida zaidi kuajri roboti kuliko watu maana haziugui, haziibi, hazina maternity and perterty leave, hazidai mshahara na zinafanya kazi kwa masaa mengi tofauti na mwanadamu.

Hivyo nawiwa kusema kuwa tusiwe na matarajio makubwa ya ajira katika uwekezaji huu kwani kama watawekeza kama wanayodai yaani uwekezaji wa kisasa, ajira nyingi zitakufa; na kama wakiendeleza hali iliyopo sasa ufanisi hautafikiwa.

Ni hayo tu kwa leo.

Full 8.


Uwekezaji wa DP world katika bandari zetu Tanzania, umepokelewa kwa mitazamo tofauti. Wengi wameonesha kutokubaliana nao kwa asilimia kubwa na kudai maboresho kadha wa kadha kwa manufaa ya nchi yetu huku wanaoupigia chapuo wakisema mkataba huo ni bora na utasaidia kuboresha utendaji bandarini na kuongeza ajira kwa vijana wa Kitanzania.

Kufuatia wasilisho lilitolewa na waziri mwenye dhamana, inaonekana kwamba kutakua na ongezeko la ajira bandarini kutoka 28,000 mwaka 2021/22 hadi 71,907 2032/33 sawa na ajira mpya 43907 ambalo ni ongezeko la asilimia 157, bila shaka ongezeko hili kubwa la ajira ni habari njema kwetu sote.

Kufuatia habari hiyo nikachukua muda kufiriki namna ajira hizo mpya zitatengenezwa. Nikabaini kuwa zaweza kuwa katika makundi haya.
1. Operators
2. IT
3. Administrators
4. Drivers
5. Engeneers n.k

Pia, nikajiuliza katika miaka kumi ijayo, ajira hizi zitakuwa na soko? ndipo nikakumbuka zimwi la AI.
Ukitazama promotion video za DPW utaona bandari inayoendeshwa kisasa kwa kutumia semi au automatic machinery na wafanyakazi wachache. Jambo hili pia lilishuhudiwa na mbunge yule mwenye phd aliyemwona binti mdogo anabonyeza tu container zinajipanga, akachukua na namba ya simu kwa follow-ups! mbali na AI, nikakumbuka kuwa mwekezaji mpya pia atakuaja na skilled labor kutoka uarabuni ili kuwezesha shughuli zake kwenda vema, hivyo kuna ajira ambazo hatutazipata.

Ndipo nilipogundua kuwa pamoja na maneno mazuri ya waziri mwenye dhamana, ndoto hii ya ajira nyingi inaweza isifikiwe kwa sababu AI imeshika kasi katika sekta zote hadi upasuaji wa wagonjwa, vile vile ukilinganisha faida za Automation na machinery katika kampuni utaona kuna faida zaidi kuajri roboti kuliko watu maana haziugui, haziibi, hazina maternity and perterty leave, hazidai mshahara na zinafanya kazi kwa masaa mengi tofauti na mwanadamu.

Hivyo nawiwa kusema kuwa tusiwe na matarajio makubwa ya ajira katika uwekezaji huu kwani kama watawekeza kama wanayodai yaani uwekezaji wa kisasa, ajira nyingi zitakufa; na kama wakiendeleza hali iliyopo sasa ufanisi hautafikiwa.

Ni hayo tu kwa leo.

Full 8.
Mh. Maadam Full 8 ! Nikiwa mtaalamu mbobezi wa mambo ya People & Sustainability ( Human Resources Zamani kama ilivyoitwa ) maono yangu ni kuwa hakutakuwa na ongezeko lolote kwa wale wanaofanya core works bandarini.

Ni hivi:

1. Uwekezaji unapoanza watu wengi watapata ajira za muda kwenye projects mbalimbali.

2. The project itakapoanza rasmi wengi watapoteza ajira zao kwani uwekezaji utakuwa wa high level of Technology.

3. Hivyo ajira zitabaki kwa professional & Skilled labour mosty zitachukuliwa na experts.

4. Kutakuwa na ongezeko la alternative employment kwa kampuni zitakazopata tender ya kusupply kazi na vitu mbalimbali vidogo vidogo.

Hivyo basi kusema kutakuwa na ongezeko la ajira directly ni mawazo tuu wala hakuna uhalisia.

Tujikumbushe Je baada ya mashirika mengi kubinafshishwa kulikuwa na ongezeko la ajira au watu wengi tuu kupunguzwa kazi?

Ukipata jibu la kilichotokea huko kipindi kilichopita utapata nini kitakachotokea baada ya mwekezaji wetu Pendwa DP World kuanza kazi rasmi.


Faida zake zitakuwa:

1. Ongezeko la kipato kwa Serikali.
2. Ongezeko la Ufanisi bandarini.
 
Mnaopiga kelele za ajira kwa hao DP world, migodini saivi kuna scoop zinafanya kazi kwa automation, na wanampango mpaka dumper truck ziwe kwa mfumo wa automation,

Maendeleo ya tech lazima yapunguze idadi ya wafanyakazi watumia nguvu
 
Uwekezaji wa DP world katika bandari zetu Tanzania, umepokelewa kwa mitazamo tofauti. Wengi wameonesha kutokubaliana nao kwa asilimia kubwa na kudai maboresho kadha wa kadha kwa manufaa ya nchi yetu huku wanaoupigia chapuo wakisema mkataba huo ni bora na utasaidia kuboresha utendaji bandarini na kuongeza ajira kwa vijana wa Kitanzania.

Kufuatia wasilisho lilitolewa na waziri mwenye dhamana, inaonekana kwamba kutakua na ongezeko la ajira bandarini kutoka 28,000 mwaka 2021/22 hadi 71,907 2032/33 sawa na ajira mpya 43907 ambalo ni ongezeko la asilimia 157, bila shaka ongezeko hili kubwa la ajira ni habari njema kwetu sote.

Kufuatia habari hiyo nikachukua muda kufiriki namna ajira hizo mpya zitatengenezwa. Nikabaini kuwa zaweza kuwa katika makundi haya.
1. Operators
2. IT
3. Administrators
4. Drivers
5. Engeneers n.k

Pia, nikajiuliza katika miaka kumi ijayo, ajira hizi zitakuwa na soko? ndipo nikakumbuka zimwi la AI.
Ukitazama promotion video za DPW utaona bandari inayoendeshwa kisasa kwa kutumia semi au automatic machinery na wafanyakazi wachache. Jambo hili pia lilishuhudiwa na mbunge yule mwenye phd aliyemwona binti mdogo anabonyeza tu container zinajipanga, akachukua na namba ya simu kwa follow-ups! mbali na AI, nikakumbuka kuwa mwekezaji mpya pia atakuaja na skilled labor kutoka uarabuni ili kuwezesha shughuli zake kwenda vema, hivyo kuna ajira ambazo hatutazipata.

Ndipo nilipogundua kuwa pamoja na maneno mazuri ya waziri mwenye dhamana, ndoto hii ya ajira nyingi inaweza isifikiwe kwa sababu AI imeshika kasi katika sekta zote hadi upasuaji wa wagonjwa, vile vile ukilinganisha faida za Automation na machinery katika kampuni utaona kuna faida zaidi kuajri roboti kuliko watu maana haziugui, haziibi, hazina maternity and perterty leave, hazidai mshahara na zinafanya kazi kwa masaa mengi tofauti na mwanadamu.

Hivyo nawiwa kusema kuwa tusiwe na matarajio makubwa ya ajira katika uwekezaji huu kwani kama watawekeza kama wanayodai yaani uwekezaji wa kisasa, ajira nyingi zitakufa; na kama wakiendeleza hali iliyopo sasa ufanisi hautafikiwa.

Ni hayo tu kwa leo.

Full 8.
Ujenzi wa barabara Bora kutoka Dar Hadi tunduma uanze tu mapema
Hapo ni namba 4 tu
 
Ukomo wa mkataba ni miaka mingapi hicho ndio watu wanataka kufahamu period
 
Mh. Maadam Full 8 ! Nikiwa mtaalamu mbobezi wa mambo ya People & Sustainability ( Human Resources Zamani kama ilivyoitwa ) maono yangu ni kuwa hakutakuwa na ongezeko lolote kwa wale wanaofanya core works bandarini.

Ni hivi:

1. Uwekezaji unapoanza watu wengi watapata ajira za muda kwenye projects mbalimbali.

2. The project itakapoanza rasmi wengi watapoteza ajira zao kwani uwekezaji utakuwa wa high level of Technology.

3. Hivyo ajira zitabaki kwa professional & Skilled labour mosty zitachukuliwa na experts.

4. Kutakuwa na ongezeko la alternative employment kwa kampuni zitakazopata tender ya kusupply kazi na vitu mbalimbali vidogo vidogo.

Hivyo basi kusema kutakuwa na ongezeko la ajira directly ni mawazo tuu wala hakuna uhalisia.

Tujikumbushe Je baada ya mashirika mengi kubinafshishwa kulikuwa na ongezeko la ajira au watu wengi tuu kupunguzwa kazi?

Ukipata jibu la kilichotokea huko kipindi kilichopita utapata nini kitakachotokea baada ya mwekezaji wetu Pendwa DP World kuanza kazi rasmi.


Faida zake zitakuwa:

1. Ongezeko la kipato kwa Serikali.
2. Ongezeko la Ufanisi bandarini.
Umefafanua vizuri sana mkuu, shukrani sana.
 
Back
Top Bottom