Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Mkataba upi ni wa milele?Umeuona mkataba wao ni wa milele kama wetu, kuna nchi zina utawala smart viongozi waliochaguliwa na wananchi hawawezi kukubali mikataba ya hovyo kama yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba upi ni wa milele?Umeuona mkataba wao ni wa milele kama wetu, kuna nchi zina utawala smart viongozi waliochaguliwa na wananchi hawawezi kukubali mikataba ya hovyo kama yetu.
Huko ni kukaribisha magaidiWanataka kutusogezea alshabab wawe wanaingiza majambia bila kukaguliwa.
Msukuma dalali wa waarabu anao nenda atakuonyeshaMkataba upi ni wa milele?
Wewe hauna?Msukuma dalali wa waarabu anao nenda atakuonyesha
Nipe ushahidi ameanza kazi kwenye field gani? Nipe kipengele pia kinachosema amepewa bandari zote
Wewe je hauna?Wewe hauna?
Kwani kule Congo (DRC) pamoja na machafuko na vita, mashirika ya kutoka nje yamewezaje kuendesha ufanisi wa biashara ya uchimbaji madini na kupata faida ? Tena kuna usafiri mkubwa ni ndege za mizigo, ambao ni hatari mno wakati wa vita. Hebu tusaidiane bwana ustadh...Tuseme wewe ndo mwekezaji na umewekeza Yemen!! Niambie na machafuko pamoja na vita vile utaongezaje ufanisi wa Bandari?
Tuambie pia kwa Bandari anazoziendesha Uingereza. Canada na Dubai anaziendeshaje?
Kwanza mimi sio ustaadhi? Nani kakwambia Congo your ina vita?Kwani kule Congo (DRC) pamoja na machafuko na vita, mashirika ya kutoka nje yamewezaje kuendesha ufanisi wa biashara ya uchimbaji madini na kupata faida ? Tena kuna usafiri mkubwa ni ndege za mizigo, ambao ni hatari mno wakati wa vita. Hebu tusaidiane bwana ustadh...
Raisi Samia na Tshisekedi walivyokuwa wanafanya kikao na waandishi wa habari kuhusu maazimio ya SADC. Lakini pia Raisi Samia na maraisi wa EAC walifanya kikao kule Bujumbura na akapendekeza itafutwe suluhu baina ya Rwanda, DRC na Makundi ya waasi. Au hukumsikia Raisi wako ?Kwanza mimi sio ustaadhi? Nani kakwambia Congo your ina vita?
Mkataba unasema hata wasipofikia malengo hakuna mtu au chombo chochote kitakachovunja mkataba, mkataba gani wa kijinga namna hii, mimi nasema aliyeingia na anayesapoti wote wajinga.Mkataba upi ni wa milele?
Maneno hayavunji mfupa. Kama mtaishia kuongea tu hakuna litakalobadilika.Mkataba unasema hata wasipofikia malengo hakuna mtu au chombo chochote kitakachovunja mkataba, mkataba gani wa kijinga namna hii, mimi nasema aliyeingia na anayesapoti wote wajinga.
Machafuko yemen yameanza lini na hao dp world wamefukuzwa liniTuseme wewe ndo mwekezaji na umewekeza Yemen!! Niambie na machafuko pamoja na vita vile utaongezaje ufanisi wa Bandari?
Tuambie pia kwa Bandari anazoziendesha Uingereza. Canada na Dubai anaziendeshaje?
Mkuu achana na huyo Kanjanja,anafikiri sheria kasoma yeye peke yakeKasome Article 2 ya ule mkataba; Objectives of the Agreement.
Ile imeonesha vizuri kabisa kila kitu, jinsi makubaliano yale yalivyokuwa legally binding, ndio maana nakwambia mwarabu ameshaanza kazi tangu October 2022, maeneo yote ambayo waarabu watafanya shughuli zao Tanganyika, ambapo pameeleza wazi ni bandari zote za bahari na maziwa Tanganyika.
Nikushauri tu, kwa hili la mkataba wa bandari na waarabu, chutama, usiendelee kujivua nguo humu.
Tumia akili japo kidogo, kwamba kabla ya uwekezaji Container 500,000 zilipakuliwa; walipokuja hao Mungu wenu upakuaji ukaanguka mpaka containers 140,000.Tuseme wewe ndo mwekezaji na umewekeza Yemen!! Niambie na machafuko pamoja na vita vile utaongezaje ufanisi wa Bandari?
Tuambie pia kwa Bandari anazoziendesha Uingereza. Canada na Dubai anaziendeshaje?