DPP Biswalo Mganga awafutia mashtaka mahabusu 51 mkoani Manyara baada ya kuwasikiliza na kugundua mashtaka yao yana mapungufu

DPP Biswalo Mganga awafutia mashtaka mahabusu 51 mkoani Manyara baada ya kuwasikiliza na kugundua mashtaka yao yana mapungufu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkurugenzi wa mashtaka nchini mh Biswalo leo amewafutia mashtaka mahabusu 51 mkoani Manyara baada ya kuwasikiliza na kugundua mashtaka yao yana mapungufu.

DPP Biswalo amesema anaendelea na zoezi hilo katika magereza mbalimbali nchini.

Mkuu wa gereza la Babati amemwambia mwandishi wa ITV kwamba zoezi linalofanywa na DPP limeisaidia gereza lake kupunguza msongamano wa mahabusu.

Miongoni mwa watu maarufu waliofutiwa mashtaka na DPP hivi karibuni ni pamoja na Katibu mkuu wa Bavicha mh Nusrat Henje.

Maendeleo hayana vyama!
 
Yaani DPP anayetoa amri kina Nusrat Hanje wakamatwe na kuswekwa rumande, halafu DPP huyo huyo anapita tena huko gerezani kusikiliza malalamiko ya kina Nusrat ili kuwaachia.

Huyo atakuwa DPP anayeshikishwa ukuta.
 
Mkurugenzi wa mashtaka nchini mh Biswalo leo amewafutia mashtaka mahabusu 51 mkoani Manyara baada ya kuwasikiliza na kugundua mashtaka yao yana mapungufu.

DPP Biswalo amesema anaendelea na zoezi hilo katika magereza mbalimbali nchini.

Mkuu wa gereza la Babati amemwambia mwandishi wa ITV kwamba zoezi linalofanywa na DPP limeisaidia gereza lake kupunguza msongamano wa mahabusu.

Miongoni mwa watu maarufu waliofutiwa mashtaka na DPP hivi karibuni ni pamoja na Katibu mkuu wa Bavicha mh Nusrat Henje.

Maendeleo hayana vyama!
Hii mbona ilianzaga kitambo, tangu July 2019 baada ya Magu kutembelea gereza la Butimba Mwanza, na kukuta watu wengi wakisubiri kusomewa mashtaka au uchunguzi ukamilike, lakini wakiwa wamewekwa ndani zaidi ya Mwaka. Magu aliiagiza ofisi ya DPP ianze mara moja kupita magerezani mara kwa mara, kufuatilia watu waliowekwa ndani kimakosa. Na watu wengi tu huwa wanafutiwa kesi kwa njia hii ya DPP kupita huko na kuamua hawana kesi ya kujibu.
 
Mkurugenzi wa mashtaka nchini mh Biswalo leo amewafutia mashtaka mahabusu 51 mkoani Manyara baada ya kuwasikiliza na kugundua mashtaka yao yana mapungufu.

DPP Biswalo amesema anaendelea na zoezi hilo katika magereza mbalimbali nchini.

Mkuu wa gereza la Babati amemwambia mwandishi wa ITV kwamba zoezi linalofanywa na DPP limeisaidia gereza lake kupunguza msongamano wa mahabusu.

Miongoni mwa watu maarufu waliofutiwa mashtaka na DPP hivi karibuni ni pamoja na Katibu mkuu wa Bavicha mh Nusrat Henje.

Maendeleo hayana vyama!
Waulize washirika wa Idd Amin kilichowapata, muda wote walikuwa wanajiona wajanja, kumbe waganda wana lao rohoni! Ndiyo haya ya utawala huu... DPP anadhani watu wajinga!
 
Yaani DPP anayetoa amri kina Nusrat Hanje wakamatwe na kuswekwa rumande, halafu DPP huyo huyo anapita tena huko gerezani kusikiliza malalamiko ya kina Nusrat ili kuwaachia.

Huyo atakuwa DPP anayeshikishwa ukuta.
Hahahhaahhaaahahahhaaha.Mkuu punguza jazba
 
Chadema wamefikia hatua Kamanda wao anatolewa gerezani na kuachiwa kwakuwa hana kesi yakujibu wanalalamika?????
 
Mkurugenzi wa mashtaka nchini mh Biswalo leo amewafutia mashtaka mahabusu 51 mkoani Manyara baada ya kuwasikiliza na kugundua mashtaka yao yana mapungufu.

DPP Biswalo amesema anaendelea na zoezi hilo katika magereza mbalimbali nchini.

Mkuu wa gereza la Babati amemwambia mwandishi wa ITV kwamba zoezi linalofanywa na DPP limeisaidia gereza lake kupunguza msongamano wa mahabusu.

Miongoni mwa watu maarufu waliofutiwa mashtaka na DPP hivi karibuni ni pamoja na Katibu mkuu wa Bavicha mh Nusrat Henje.

Maendeleo hayana vyama!
Mwambie amgutie tito na theo kesi yake aliyowabambika,ccm akili zenu huwa mmezikalia
 
Back
Top Bottom