Moja ya jukumu la Rais wa nchi ni kuhakikisha kuwa kila aliyemteua anafanya kazi yake kwa mujibu wa sheria ma taratibu zilizowekwa nchini.Sasa Magu ndiye kamtuma atamwondoaje?
Atafutiwa mafao yakeMzee msekwa pamoja na kwenda chaka Mara nyingi ila kwenye hili kasema lazima Katiba na sheria ziheshimiwe. Nashangaa sana kama hadi aliyetunga katiba kasema hivi Kwa nini huyu jamaa hajachukuliwa hatua
DPP Hana makosa, yeye alitumwaHakuna namna nyingine. Ajiuzulu na kufunguliwa mashtaka. Ameinajisi Katiba na ametumia vibaya madaraka.
Lakini ni lazima ajihadhari kwa kuwa huyo Boss wake, analindwa na hiyo Katiba "mbovu" kuwa awapo madarakani na hata akitoka madarakani hakuna mahakama yoyote nchini, inayoweza kumshitaki kwa makosa yoyote aliyoyafanya alipokuwa madarakani.Watu awaheshimu katiba sheria wala taratibu, Wanaikanyaga tu wanavopenda wenyewe. Wala hakuna sababu ya kumlaumu DPP mana anafuata maelekezo ya boss wake.
Eti nawewe unasubiri uteuzi, kwa akili huzi utasubiri sana mkuu.mleta mada unachoongea unadhani mtu akiwa rumande ni mawakili tu ndio huhangaika kumtoa .Wako ndugu pia na jamaa na marafiki huhangaika kivyao bila kushirikisha mawakili pia
MAwakili wenu walikuwa wakichelewesha ili wale pesa za Chadema wakijitia ohh tuko tunafanya juhudi kumbe uongo mtupu na utapeli wanachaji chama tu pesaza masaa wamnayotumia kuzila pesa za chama
Hanje na wenzie wametolewa na ndugu na marafiki baada ya kuona mchezo mchafu uliokuwa ukichezwa na mawakili vibaka wa chadema wakishirikiana na Mbowe na mnyika na wakitumia wao kuweko ndani kama kick ya kisiasa na njia ya kuiba kula hela za chama
Taratibu zote zilifuatwa kupitia ndugu zao na jamaa na marafiki zao bila kuhusisha mawakili vibaka
Naona uko na hasira sababu ya kunyanganywa kitumbgua chenu na mawakili wenu wezi mdomoni
Umeongea utumbo,Hivi ubunge ungekuwa hauna pesa yoyote ungetumia nguvu kubwa kuandika haya madudu?
Mbona nyie watu mnawivu Sana?
Makelele yote haya ni kwasababu mdada wa watu kapata ubunge, hivi kama angekuwa ametolewa usiku na kuachiwa huru akaendelee na maisha yake ungekuja hapa kupiga kelele?
Tumshinikize ajiuzulu?
Wakati ukweli wote ameuelezea peupe mchana..........
Kuwa form zote alikuwa nazo zikiwa bado "intact" hazijajazwa chochote!
Utuambie hizo form alizopokea Dkt Mahera alizipata wapi, kama siyo mchezo wa kufoji, uliofanywa na viongozi wenu wa Chama na serikali?
Hakuna sheria yoyote imevunjwaUmeongea utumbo..............
Nilichosema ni kuwa yeye DPP ndiye anayepaswa kuwa mstari wa mbele kuitiii Katiba, kama yeye hataki kuitii Katiba basi anawajibika kujiuzulu Mara moja
Nyiye maccm mnachekelea sana jinsi wakubwa wenu wanaivyoisigina sigina Katiba yetu na kuwa kama "toilet paper"
Kwa namna mambo yanavyokwenda kwa zaidi ya miaka minne, ni dhahiri hili Rais Magufuli hawezi kulifanya.Moja ya jukumu la Rais wa nchi ni kuhakikisha kuwa kila aliyemteua anafanya kazi yake kwa mujibu wa sheria ma taratibu zilizowekwa nchini.
Kwa hiki kitendo cha DPP, Biswalo Mganga, kufanya makosa ya wazi kabisa, Rais analazimika kumtimua kazi ili aiokoe serikali yake kutokana na aibu kubwa inayopata hapa nchini na kwenye Jumuiya ya kimataifa
Hakuna kiongozi wa chadema aliyewaita hivo bali ni watu wa kawaida. Inawezekana wakawa hata kutoka CCM au hawana chama.Toka lini na nyie CHADEMA mmwite Nusrat Hanje? Simmewabatiza wao ni Covid 19? Kwani Biswalo ndo amewatimua kwa mbwembwe na fedhuri kwenye kikundi chenu??Mbona CHADEMA mnazidi kuchanganyikiwa juuu ya hawa wamama wa watuu? Waacheni wapumuzike sio kushinda mnawasengenya mitandaoni tena Mliwatimua haraka sana, sasa mnawataka nini tena?
Haaaaa haaaaaaa. Musihamishe magoliii, muliwaandalia mabango yenye kuwaita wao ni covid 19 huku mkiwa mumevalia sare zenu nyekundu na kuzagaa makao makuuu yenu hapo ufipa. Mumeanza kutesekaa na kauli zenu za kukurupuka. Msibadilishe gia anganiiiii.Hakuna kiongozi wa chadema aliyewaita hivo bali ni watu wa kawaida. Inawezekana wakawa hata kutoka CCM au hawana chama.