DPP Biswalo Mganga unalazimika kuwajibika kujiuzulu baada ya kumtoa "mahabusu" Nusrat Hanje gerezani akawe ghafla Mbunge

DPP Biswalo Mganga unalazimika kuwajibika kujiuzulu baada ya kumtoa "mahabusu" Nusrat Hanje gerezani akawe ghafla Mbunge

Kama mlivyomuamini mdee halafu akavunja uaminifu ndivyo mnyika anavyojaribu kukwepa msala lakini yeye na mbowe wanajua mpango wote Halima sio kichaa tu wa kumshukuru Mbowe!
Hata Mimi natafakari hivyohivyo. HALIMA, HALIMA, HALIMA kweli aamue tu kusaliti chama chake!! Wengine sawa lakini sio Huyo. Hapa tunazugwa tu na haya maigizo. Ninachoona huenda CHADEMA waliona wakiruhusu kwa njia ya kawaida wangepata ukosoaji mkubwa na kulaumiwa na wafuasi wao na wafadhili wao wa nje/Mabeberu. Ndio maana wakatengeneza hii movie.

Na kwakuwa pande zote zina interest, yaani CHADEMA kupata ruzuku, wabunge kupata fedha na hata baadae kukichangia chama. Kwa upande wa Bunge maslahi ni kuonyesha uwepo wa wabunge wa upinzani na hilo linalozungumzwa kwamba wasipokuwepo kutakosekana Trion 1...kutoka kwa wahisana.

Hivyo kwakuwa pande zote zina maslahi basi ni rahisi kusuka deal. Na huenda shariti mojawapo likawa nikumtoa Nusrath na kumpa Ubunge.

Sasa ni namna gani yakufanikisha hili wakati CHADEMA tayari ilishajinasibu kindakindaki kuhusu uchaguzi uliopita, wanachama wake watawaelewa? Je wananchi watawaangaliaje, na vip mapokeo ya wafadhili wao wa nje .

Miaka mijtano ni mingi sana, nadhani soon tutajua ukweli.

kuna uwezekano mbele ya safari ukasikia watu wameomba msamaha na kurudishiwa uanachama wao.

Chama pia kina Maslahi kama chama na kwa mbunge binafsi.
 
Hili jambo ni zito sana. Kukosekana kwa uwajibikaji wa serikali kwa wananchi ndio inatufukisha hapa leo.

Yaani DPP anapoka mamlaka ya mahakama; Chief Justice yuko wapi kukemea? Mbona CJ Maraga wa Kenya ni mkali mahakama inapochezewa?

Hili jambo lina wiki sasa, hakuna mtu anatuambia nini kilitokea kwa huyu binti. Tume ya uchaguzi inatakiwa kutoa majibu mahsusi kuhusiana na huyu binti, alikuwa jela kabla hata ya uchaguzi, amewezaje kutimiza masharti yote ya kuwa mbunge? Na DPP aje asema, ilikuwaje huyu binti akatoka bila mahakama kujua, na kama ilijua pia asema.
 
Chadema sijui wakoje tu so mlitaka binti wa watu aendelee kuteseka gerezani? Haya alivyokuwa Gerezani mkaaza kutomboka ametolewa bado mnatomboka sijui tuwaelewe vipi nyinyi watu
 
Hakuna sheria yoyote imevunjwa
Yule sio mfungwa ni mahabusu tu

Mbona bavicha walikuwa wanampelekea cheq na documents za kusaini akiwa jela je wao walikuwa wanatumia sheria gani?

Mtu akiwa jela anaweza kufanya kazi za office? Mbona hamkulalamika?
Wewe uliwahi kuona wapi, mahabusu anatolewa gerezani saa 1.30 jioni na huyo mahabusu asipitishwe kwa Hakimu, kwenye mahakama iliyompeleka hapo gerezani?
 
Wewe uliwahi kuona wapi, mahabusu anatolewa gerezani saa 1.30 jioni na huyo mahabusu asipitishwe kwa Hakimu, kwenye mahakama iliyompeleka hapo gerezani?
Alimuona saa moja na nusu wakati anatoka?
 
Chadema sijui wakoje tu so mlitaka binti wa watu aendelee kuteseka gerezani? Haya alivyokuwa Gerezani mkaaza kutomboka ametolewa bado mnatomboka sijui tuwaelewe vipi nyinyi watu
Hivi juhudi kubwa iliyofanywa na chama cha Chadema kutaka kumtoa kutoka gerezani wewe hujaiona?
 
Moja ya jukumu la Rais wa nchi ni kuhakikisha kuwa kila aliyemteua anafanya kazi yake kwa mujibu wa sheria ma taratibu zilizowekwa nchini.

Kwa hiki kitendo cha DPP, Biswalo Mganga, kufanya makosa ya wazi kabisa, Rais analazimika kumtimua kazi ili aiokoe serikali yake kutokana na aibu kubwa inayopata hapa nchini na kwenye Jumuiya ya kimataifa.
Huyo Rais mwenyewe ndiyo anaongoza kwa kuvuja sheria na katiba
 
Huyo Rais mwenyewe ndiyo anaongoza kwa kuvuja sheria na katiba
Tunataka atawale kwa mujibu wa Katiba ya nchi aliyoapa kuitii na kuiheshimu kabla ya kumkabidhi madaraka, kama hawezi aende zake akalime.
By Mwalimu Nyerere in the year 1995
 
Hanje hakuwa gerezani alikuwa rumande
Ukiwa rumande mambo yote yanaendelea waweza letewa hata check ukasaini malipo
Rumande ipo Sea cliff hotel?

Watu wengine ni bora hata maiti inajitambuwa, baba yako angekymbuka kutumia condom angeliokowa Taifa kuwa na mazezeta kama wewe.
 
Hili jambo ni zito sana. Kukosekana kwa uwajibikaji wa serikali kwa wananchi ndio inatufukisha hapa leo.

Yaani DPP anapoka mamlaka ya mahakama; Chief Justice yuko wapi kukemea? Mbona CJ Maraga wa Kenya ni mkali mahakama inapochezewa?

Hili jambo lina wiki sasa, hakuna mtu anatuambia nini kilitokea kwa huyu binti. Tume ya uchaguzi inatakiwa kutoa majibu mahsusi kuhusiana na huyu binti, alikuwa jela kabla hata ya uchaguzi, amewezaje kutimiza masharti yote ya kuwa mbunge? Na DPP aje asema, ilikuwaje huyu binti akatoka bila mahakama kujua, na kama ilijua pia asema.
Umeongea hoja ya msingi sana..

Ni kwanini mhimili wa mahakama unakubali kuchezewa na mhimili wa serikali watakavyo?

Inabidi mhimili wa mahakama "ugangamale" na upiiganie ile kitu inayoitwa Power separation katika mihimili 3 mikuu, ambayo ni Executive, Judiciary and Legislature
 
Ni kwanini mhimili wa mahakama unakubali kuchezewa na mhimili wa serikali watakavyo?
Tatizo la kuwa na Chief Justice aliyeanza kazi kama "Acting" Chief Justice. Bado sielewi kwanini hakuteuliwa moja kwa moja? Head wa Executive alikuwa anampa "Acting" ili aangilie nini? Alifanya nini mpaka akaonekana anafaa kuwa confirmed?
 
Ndio maana kuna msamaha na rufaa ndani ya siku 30 team Halima wana score golden goal!
Hata Mimi natafakari hivyohivyo. HALIMA, HALIMA, HALIMA kweli aamue tu kusaliti chama chake!! Wengine sawa lakini sio Huyo. Hapa tunazugwa tu na haya maigizo. Ninachoona huenda CHADEMA waliona wakiruhusu kwa njia ya kawaida wangepata ukosoaji mkubwa na kulaumiwa na wafuasi wao na wafadhili wao wa nje/Mabeberu. Ndio maana wakatengeneza hii movie.

Na kwakuwa pande zote zina interest, yaani CHADEMA kupata ruzuku, wabunge kupata fedha na hata baadae kukichangia chama. Kwa upande wa Bunge maslahi ni kuonyesha uwepo wa wabunge wa upinzani na hilo linalozungumzwa kwamba wasipokuwepo kutakosekana Trion 1...kutoka kwa wahisana.

Hivyo kwakuwa pande zote zina maslahi basi ni rahisi kusuka deal. Na huenda shariti mojawapo likawa nikumtoa Nusrath na kumpa Ubunge.

Sasa ni namna gani yakufanikisha hili wakati CHADEMA tayari ilishajinasibu kindakindaki kuhusu uchaguzi uliopita, wanachama wake watawaelewa? Je wananchi watawaangaliaje, na vip mapokeo ya wafadhili wao wa nje .

Miaka mijtano ni mingi sana, nadhani soon tutajua ukweli.

kuna uwezekano mbele ya safari ukasikia watu wameomba msamaha na kurudishiwa uanachama wao.

Chama pia kina Maslahi kama chama na kwa mbunge binafsi.
 
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.

Ndivyo ninavyolazimika kuianza "thread" yangu kutokana na sakata hili la kumwachia mahabusu Nusrat Hanje kinyume cha sheria na taratibu za nchi hii.

Kama kweli nchi yetu inaendeshwa kwa utawala bora, DPP Biswalo Mganga analazimika kujiuzulu kutokana na sakata linaloendelea kumtoa mahabusu, Nusrat Hanje, kinyume cha sheria, usiku wa tarehe 23/11/2020, kwa lengo moja tu la "kumuwahisha" ili aende kuapishwa Bungeni Dodoma kesho yake ya tarehe 24/11/2020.

Wewe uliwahi kuona wapi, Mahabusu yeyote hapa nchini anatolewa gerezani usiku, bila kwanza kupitia kwenye Mahakama iliyomuhukumu aende rumande kwenye gereza hilo na kuifunga dhamana yake kwa siku 133 mfululizo?

Ndivyo ilivyotokea kwa Mahabusu Nusrat Hanje, Kiongozi wa Bavicha Taifa, baada ya kutuhumiwa na Jeshi la Polisi nchini, kufanya mkusanyiko usio halali, hapo mwezi June mwaka huu.

Tunamuomba Biswalo Mganga aueleze Umma wa watanzania, kulikuwa na udharula gani, hadi "azitengue" sheria za nchi hii na kulazimisha kumtoa Mahabusu, Nusrat Hanje, kisiri siri, tena usiku wa tarehe 23/11/2020?

Huyo Nasrat Hanje aliamka akiwa rumande tarehe 23/11/2020 akiwa hajui hili wala lile, baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na Ndugu, Jamaa, Viongozi wa Chama chake cha CHADEMA pamoja na wanasheria wao kufanya juhudi kubwa ya kumtoa rumande kwa siku 133 bila mafanikio yoyote.

Ghafla jioni hiyo ya tarehe 23/11/2020 ndipo ilipokuja amri kutoka kwa DPP, Biswalo Mganga, kwa Mkuu wa gereza alilokuwemo kuwa atolewe gerezani humo na yeye ni mtu huru kuanzia dakika ile!

DPP anaelewa fika "procedure" za kufuata kabla ya mahabusu yeyote kuachiwa Huru na utaratibu huo ni pamoja na huyo mahabusu kuachiwa majira ya asubuhi hadi mchana pekee na ipelekwe taarifa kwenye mahakama aliyotuhumiwa na ipate kibali kwa "kusainiwa" na Hakimu mwenye kusikiliza kesi hiyo.

Utaratibu huo haukufuatwa kabisa, kwa kuwa "mahabusu" huyo aliachiwa majira ya saa 1.30 jioni ya tarehe hiyo ya 23/11/2020 na taarifa yake haikupelekwa kwa Hakimu anayesikiliza kesi yake ili "aisaini" kuidhinisha kutoka kwake huko Mahabusu.

Lakini kilichobainika baadaye ni kuwa amri hiyo ya kumwachia "mahabusu" huyo Nusrat Hanje na DPP, Biswalo Mganga, kuamua kwa makusudi kuvunja utaratibu mzima wa kuachiwa kwa Mahabusu huyo ni kwa sababu tu ili awahi kwenda apishwa Ubunge wa viti maalum vya Chadema, kesho yake ya tarehe 24/11/2020 mjini Dodoma!

Kwa "blunder" hii kubwa iliyofanywa na DPP Biswalo Mganga, wananchi tunaomba ajiuzulu wadhifa wake wa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini kwa kutofuata taratibu za kumwachia huru huyo "mahabusu" Nusrat Hanje, kwa kuwa nchi hii inaendeshwa kwa taratibu na sheria, ambazo kwa makusudi, DPP Biswalo Mganga hakutaka kuzifuata, katika sakata hilo la kumwachia mahabusu huyo, Nusrat Hanje.

Kwa mtu ambaye Taifa hili lilimwamini sana kuwa atatekeleza wadhifa wake huo kwa uaminifu mkubwa na kwa kufuata sheria za nchi kwa hii "blunder" kubwa aliyoifanya, analazimika kuwajibika kujiuzulu ili alinde heshima yake na alinde heshima ya Rais ambaye alimwamini kwa kumpa wadhifa huo mkubwa sana wa utumishi wa Umma, akiwa ni Mwendesha Mashitaka Mkuu wa nchi hii

Kama atagoma kujiuzulu tunamwomba Rais Magufuli ambaye ndiye aliyemteua kwenye nafasi hiyo amfukuze kazi mara moja, kwa kuwa kwa kitendo chake hicho amelisababishia Taifa hili aibu na fedheha kubwa ndani ya nchi na hata kwenye Jumuia ya Kimataifa.
Na haya yatapita tu ni upepo kama upepo mwingine tu jamani kama Richmond, downs, meremeta,escrow account zilizipita hichi ni nini hata kisipite muraa
 
Mleta mada unachoongea unadhani mtu akiwa rumande ni mawakili tu ndio huhangaika kumtoa .Wako ndugu pia na jamaa na marafiki huhangaika kivyao bila kushirikisha mawakili pia.

Mawakili wenu walikuwa wakichelewesha ili wale pesa za CHADEMA wakijitia ohh! tuko tunafanya juhudi kumbe uongo mtupu na utapeli wanachaji chama tu pesa za masaa wanayotumia kula pesa za chama

Hanje na wenzie wametolewa na ndugu na marafiki baada ya kuona mchezo mchafu uliokuwa ukichezwa na mawakili vibaka wa CHADEMA wakishirikiana na Mbowe na Mnyika na wakitumia wao kuwekwa ndani kama kick ya kisiasa na njia ya kuiba na kula hela za chama

Taratibu zote zilifuatwa kupitia ndugu zao na jamaa na marafiki zao bila kuhusisha mawakili vibaka

Naona uko na hasira sababu ya kunyang'anywa kitumbua chenu na mawakili wenu wezi mdomoni.
Unajua muda WA kazi wa kiselikali? Kuanzia saa 2 asubui mpaka saa kumi jioni, baada ya hapo kuna kazi zinaendelea lkn za dhalula ambazo hazina mwisho wala masaa, sasa kitendo cha kumtoa mtuhumiwa ucku hata kama dhamana yake imepatikana NI kosa kisheria kwa maaana kuda wa kazi ulikuwa umekwisha,

Hapo kuna uvunjivu wa sheria umefanyika hata kama alikuwa ba uhalali wa kutoka.

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Utawala wa awamu hii ya tano hautaki kufuata katiba wala sheria na ndivyo tawala zote za kidicteta zinavyofanya
 
Baba yako na mama yako ndio vibaka, mwanaharamu wewe!
 
Yaani aache shibe, nani umewahi ona amewahi jiuzuru akaacha shibe afrika
 
Wako juu ya sheria hao usitegemee hilo mkuu Katiba kwao ni takataka haiheshimiwi wala hatuna cha kuwafanya kwa sasa labda mpaka tutapojitambua na kuchukua hatua dhidi ya hawa wavunja Katiba mchana kweupe.
Ndo kitu ninachoshangaa...hivi kwa Mtanzania unayejielewa unaweza kujadili ishu ya uvunjifu wa Katiba kweli? Kipindi hiki?like seriosly? The CURT 1977 is no longer exist...its better tukajadili ways forward siyo eti kushangaa kwanini kisichotumika tena nchini hakikutumika some where.
 
Back
Top Bottom