DPP kuridhia mashtaka dhidi ya vigogo kesi za TAKUKURU?


Achana naye, huyo jamaa ana lake jambo. Kana ka Nzungu hajesema lolote baya la kumkasilisha mtu. And I do not think that our level of understanding issues here (at JF) is that different.
 
Achana naye, huyo jamaa ana lake jambo. Kana ka Nzungu hajesema lolote baya la kumkasilisha mtu. And I do not think that our level of understanding issues here (at JF) is that different.

Hii ni literal...kwamba "watu watauana" bila shaka maana yake ni kuwa mambo sasa yanakuwa moto na kila mtu anamtafuta mwenzake katika vurumai hili.There was no need to offend him.
 
Achana naye, huyo jamaa ana lake jambo. Kana ka Nzungu hajesema lolote baya la kumkasilisha mtu. And I do not think that our level of understanding issues here (at JF) is that different.



Umesomeka mkuu. Tusongembele...
 
Achana naye, huyo jamaa ana lake jambo. Kana ka Nzungu hajesema lolote baya la kumkasilisha mtu. And I do not think that our level of understanding issues here (at JF) is that different.
Ama kweli wewe ni "Zero", hata kujenga hoja hujui, kazi kudismiss wenzio kwa maneno ya kijiweni: "achana naye", "huyo jamaa ana lake jambo"! Kwa mtaji huo hatufiki, afadhali ya akina Makamba 100! Nimemwelewa Kungurumweupe. Hata kama sikubaliani naye, kajenga hoja! Lazaros
 
Pamoja na hayo yote mwisho wa mchezo watakuja kusafishwa kwa staili moja au nyingine. Tutapotezewa muda wetu mwingi kusikuiliza kesi ikiendeshwa mahakamani. Sana sana wakitupendelea sana watamtoa mmoja kafara. Basi!!!!!!!!!!!!
 


Ndugu Jakaya Kikwete na Abdulrahman Kinana, siku ya kuhitimisha na kustaafu rasmi utumishi wao kwa JWTZ, Oktoba 1992.
 
Nasikia Mramba kafa, kwa stroke iliosababishwa na ile adhabu ya kufagia Mnazi Mmoja Hosp.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…