Hongera mwalimu wangu
Maisha ni safari wakuu
From police officer , state attorney now dpp
Kila la heri
Mambo mengine ni ya mslahi ya Tanzania zaidi mkuu. Huko Marekani magaidi waliokubali kuwa recruited na kutumika kama double agents wa Al Qaeda walifutiwa mshikata na ofisi ya DPP wa Marekani na kuachiwa kwa kazi maalum kwenda nchi kama Jordan na Lebanon kupeleleza viongozi waandamizi wa makundi mengine ya kigaidi.
Ofisi kama hizo za DPP na AG zinafanya kazi kwa ukaribu mkubwa sana na vyombo vingine vya usalama hivyo msiwalaumu wanapotimiza wajibu wao unaoweza kuwakera nyie ila ni kwa maslahi ya taifa.
Kwa nchi kama Marekani, kuna wakati kunyima watu dhamana (Coercion) ni muhimu ili mtuhumiwa aweze kutoa ushirikiano kwa dola.
Kwa nchi kama Russia na Marekani ukikataa kuwa informer kwa FBI kwa njia ya kujitolea au kulipwa pesa itabidi watumie vitisho kama kupewa kesi za uongo ili ushirikiane na dola.
Hamna kitu hapa cha haki/kutenda haki hapa, wote ni ma Idd Amin, nunda wala watu. Vichwa vya watu kwenye friji kama Idd AminWakili Mwanadamizi Slyvester Mwakitalu ni moja ya Mawakili waliokuwa chini ya DDP aliyepita na ambao walisimama kidete kutete Jamhuri kuhusu watuhumiwa kunyimwa dhamana. Alisimama kwenye kesi ya wakili Mwenzake Tenga katika review ya Mahakama Kuu nakusimamia haki ya watuhumiwa kunyimwa dhamana.
Je alifanya akiamini kwamba mamlaka hiyo ipo sawa au alifanya kwa sababu ni ajira? Je tutegemee utashi wake au ataendelea kufanya kazi kwa kuangalia waliomteua wanataka nn Kama alivyofanya Biswalo?
Lakini kwa utendaji wake tunategemea kuna ubunifu na usukaji wa ofisi yake utafanyika? Tusubiri aanze kuicheza ngoma
Mkuu unataka mama some uzi wako kisha atengue?Wakili Mwanadamizi Slyvester Mwakitalu ni moja ya Mawakili waliokuwa chini ya DDP aliyepita na ambao walisimama kidete kutete Jamhuri kuhusu watuhumiwa kunyimwa dhamana. Alisimama kwenye kesi ya wakili Mwenzake Tenga katika review ya Mahakama Kuu nakusimamia haki ya watuhumiwa kunyimwa dhamana.
Je alifanya akiamini kwamba mamlaka hiyo ipo sawa au alifanya kwa sababu ni ajira? Je tutegemee utashi wake au ataendelea kufanya kazi kwa kuangalia waliomteua wanataka nn Kama alivyofanya Biswalo?
Lakini kwa utendaji wake tunategemea kuna ubunifu na usukaji wa ofisi yake utafanyika? Tusubiri aanze kuicheza ngoma
Makini sanaMambo mengine ni ya mslahi ya Tanzania zaidi mkuu. Huko Marekani magaidi waliokubali kuwa recruited na kutumika kama double agents wa Al Qaeda walifutiwa mshikata na ofisi ya DPP wa Marekani na kuachiwa kwa kazi maalum kwenda nchi kama Jordan na Lebanon kupeleleza viongozi waandamizi wa makundi mengine ya kigaidi.
Ofisi kama hizo za DPP na AG zinafanya kazi kwa ukaribu mkubwa sana na vyombo vingine vya usalama hivyo msiwalaumu wanapotimiza wajibu wao unaoweza kuwakera nyie ila ni kwa maslahi ya taifa.
Kwa nchi kama Marekani, kuna wakati kunyima watu dhamana (Coercion) ni muhimu ili mtuhumiwa aweze kutoa ushirikiano kwa dola.
Mkuu kumbuka tanzania yetu ina matatizo mengi haswa kwenye presidential appointee huyu si mwarobaini bali katiba mpya ndio mwarobainiJibu swali la mleta uzi sasa
Kwahiyo ulitaka DPP atoke nchini Kenya? Kuna uwezekano gani wa kumchagua DPP ambaye hakuwa kwenye mifumo ya kisheria ya TanzaniaWakili Mwanadamizi Slyvester Mwakitalu ni moja ya Mawakili waliokuwa chini ya DDP aliyepita na ambao walisimama kidete kutete Jamhuri kuhusu watuhumiwa kunyimwa dhamana. Alisimama kwenye kesi ya wakili Mwenzake Tenga katika review ya Mahakama Kuu nakusimamia haki ya watuhumiwa kunyimwa dhamana.
Je alifanya akiamini kwamba mamlaka hiyo ipo sawa au alifanya kwa sababu ni ajira? Je tutegemee utashi wake au ataendelea kufanya kazi kwa kuangalia waliomteua wanataka nn Kama alivyofanya Biswalo?
Lakini kwa utendaji wake tunategemea kuna ubunifu na usukaji wa ofisi yake utafanyika? Tusubiri aanze kuicheza ngoma
Mifumo ya utawala pamoja na lugha kwa nchi za Afrika tunaiga kutoa kwa waliotutawala. You should read between the lines.Naongelea Tz na sio USA au Russia. Learn the difference.
Thanks brother. Tatizo watu wanashabikia sana siasa bila kujali maslahi mapana ya Taifa.Makini sana
CIA na FBI ni mafia wa kutisha ndio maana wanaitawala dunia.Russia ni madikteta ila kwa Marekani ni uongo mtupu unaosema. Huenda umedanganywa na movies au unachanganya na plea bargain ambayo Marekani ipo rasmi kisheria.
Inaweza ikawa ni kwa asilimia ndogo sana kwa maana hata daktari huiba dawa kazini kwake (matumizi mabaya ya mamlaka)Na mambo mengine mengi ni kwa ajili ya visasi, visa, chuki na maslahi ya wanasiasa watawala.
Mifumo ya utawala pamoja na lugha kwa nchi za Afrika tunaiga kutoa kwa waliotutawala. You should read between the lines.
π π π πDpp mpya kaendelee kuwanyoosha mafisadi(chadema) wameumiza sana hii nchi
CIA na FBI ni mafia wa kutisha ndio maana wanaitawala dunia.
Kuna raia wa Tanzania (ndani na nje ya nchi) wanashirikiana na maadui wa taifa.Na sisi TISS waelekeze ubabe wao kwa nchi nyingine waitawale dunia sio kwa raia wa halali ndani ya nchi.
Inaweza ikawa ni kwa asilimia ndogo sana kwa maana hata daktari huiba dawa kazini kwake (matumizi mabaya ya mamlaka)
Kuna raia wa Tanzania (ndani na nje ya nchi) wanashirikiana na maadui wa taifa.