DPP Mwakitalu ondoa uchafu huu ofisini kwako; Ukipuuza usitulaumu

DPP Mwakitalu ondoa uchafu huu ofisini kwako; Ukipuuza usitulaumu

Mimi ndo MTU wa kwanza kumchallange mtoa mada juu ya hayo majina,nashangaa wewe kuniuliza tena.
Basi sawa tupo pamoja mkuu.

Kwasababu kuna mtu alisema wamejaa wasukuma ndio nikamtajia hayo majina ni ya KISUKUMU.
 
Hizi account ndo walikuwa wanasunda zile pesa walionyanganya matajiri wa nchi?
Zichunguzwe ili kujiridhia kwa kutoa haki kwamba mpunga uliomo humo unaendana na kipato chao.
 
Mkuu mbona umepanic Sana!!

Labda kama una definition yako binafsi (sio standard definition) ya neno “panic”.

Hao victims wote wa huyu loser siwajui hata mmoja, lakini kuna kila dalili kwamba mleta mada ni mmoja wa watu wanaoendekeza majungu kazini wakiamini, kwa kufanya hivyo, watapiga hatua katika careers zao. Losers/poor performers wengi wana tabia hizo! A well meaning and honest person cannot publish the kind of information that this loser has published here. That’s just harassment of people who always outperform him or her at workplace!
 
Hizi account ndo walikuwa wanasunda zile pesa walionyanganya matajiri wa nchi?
Zichunguzwe ili kujiridhia kwa kutoa haki kwamba mpunga uliomo humo unaendana na kipato chao.

Kumbuka au tambua kwamba search and seizure sio fishing expedition. Kwa mahakama kukupa search and seizure warrant, you must show reasonable cause. Huwezi kuvuta bangi zako tu siku moja ukaiomba mahakama ikupe search and seizure warrant au iidhinishe subpoena of records fulani kwa sababu kwamba unataka ujiridhishe kuwa pesa iliyomo kwenye account ya mtu fulani inaakisi kipato chake. Mambo yangekuwa hivyo, hakuna ambaye angebaki salama; hata judges na magistrates wenyewe pia wasingebaki salama.

Bila court-approved subpoena of records, bank haipaswi kutoa banking information za mteja wake.
 
Ukisikia desa la kazi ndiyo ho sasa, ukimuona mtu anajitambulisha km umeinama unanyanyua uso na kucheki kwenye orodha ndiyo huyu kumbe.
 
Labda kama una definition yako binafsi (sio standard definition) ya neno “panic”.

Hao victims wote wa huyu loser siwajui hata mmoja, lakini kuna kila dalili kwamba mleta mada ni mmoja wa watu wanaondekeza majungu kazini wakiamini, kwa kufanya hivyo, watapiga hatua katika careers zao. Losers/poor performers wengi wana tabia hizo! A well meaning and honest person cannot publish the kind of information that this loser has published here. That’s just harassment of people who always outperform him or her at workplace!
Pulchra Animo Pole sana. Kama si mmoja wao basi wewe ni ndugu wa mmoja wao. Yaite majungu kwa kuwa hujui unyama wa ofisi ya DPP kipindi cha Mwendazake. Kama alivyokufa Mwendazake na akaacha hela alizokusanya kiharamu, naku hakikishia kuwa hata kama Mwakitalu hatawashughukikia basi wasuburi hukumu ya Mungu
 
Pulchra Animo Pole sana. Kama si mmoja wao basi wewe ni ndugu wa mmoja wao. Yaite majungu kwa kuwa hujui unyama wa ofisi ya DPP kipindi cha Mwendazake. Kama alivyokufa Mwendazake na akaacha hela alizokusanya kiharamu, naku hakikishia kuwa hata kama Mwakitalu hatawashughukikia basi wasuburi hukumu ya Mungu
Nasikia kuna wakati Biswalo alipokua DPP alitembelea magereza yaliyopo Dar. Baadhi ya mahabusu niliopata kuongea nao wanasema jamaa aliongea kwa kiburi, dharau majivuno na roho mbaya sana. Alijaa kiburi na kujifanya yeye ndio alpha na omega! Aliua matumaini ya washitakiwa kwamba hawatatendewa haki maana kila kitu mpaka DPP apende

Aliwaambia mahabusu wenye kesi zao kwamba yeye ndio anawaweka pale na yeye ndio anuwezo wa kuwatoa gerezani kwa kadri anavyojisikia. Alionyesha mfano wa kuwaachia kwa nolle baadhi ya washtakiwa palepape gererzani(jambo ambalo sio baya), lakini kitu kibaya ni kwamba aliweka certificate ya kuzuia dhamana karibu kwenye kila kesi hata zile ambazo kisheria zina dhamana ili watu wakae magerezani. Matokeo yake kuna watu wapo mahabusu kwa miaka kumi mpaka kumi na moja na kesi zao hata hazijaanza kusikilizwa!

Kwakweli kama huo ulikua ni mtandao basi ni bora ukasambaratishwa kwa sababu watu wanaumizwa sana. Nataraji DPP Mwakitalu atafanyia kazi maana hata alipokwenda kutembelea Magereza ya Dar mara baada ya kuteuliwa kwenye nafasi hiyo angalau kumekua na matumaini kwamba atafanyia kazi kero za muda mrefu zilizopo ndani ya ofisi yake zinazosababisha watu "kuhukumiwa Vifungo" kabda ya kupatikana na hatia
 
Nasikia kuna wakati Biswalo alipokua DPP alitembelea magereza yaliyopo Dar. Baadhi ya mahabusu niliopata kuongea nao wanasema jamaa aliongea kwa kiburi, dharau majivuno na roho mbaya sana. Alijaa kiburi na kujifanya yeye ndio alpha na omega! Aliua matumaini ya washitakiwa kwamba hawatatendewa haki maana kila kitu mpaka DPP apende

Aliwaambia mahabusu wenye kesi zao kwamba yeye ndio anawaweka pale na yeye ndio anuwezo wa kuwatoa gerezani kwa kadri anavyojisikia. Alionyesha mfano wa kuwaachia kwa nolle baadhi ya washtakiwa palepape gererzani(jambo ambalo sio baya), lakini kitu kibaya ni kwamba aliweka certificate ya kuzuia dhamana karibu kwenye kila kesi hata zile ambazo kisheria zina dhamana ili watu wakae magerezani. Matokeo yake kuna watu wapo mahabusu kwa miaka kumi mpaka kumi na moja na kesi zao hata hazijaanza kusikilizwa!

Kwakweli kama huo ulikua ni mtandao basi ni bora ukasambaratishwa kwa sababu watu wanaumizwa sana. Nataraji DPP Mwakitalu atafanyia kazi maana hata alipokwenda kutembelea Magereza ya Dar mara baada ya kuteuliwa kwenye nafasi hiyo angalau kumekua na matumaini kwamba atafanyia kazi kero za muda mrefu zilizopo ndani ya ofisi yake zinazosababisha watu "kuhukumiwa Vifungo" kabda ya kupatikana na hatia
Mi naona wakati mwingine hawa watu tunawabebesha lawama ambazo hazisitahili japokua kwenye taasisi nyingi kuna uozo wa kupindukia.

Kwenye nchi zilizoendelea nasikia haukamatwi bila uchunguzi kukamilika tofauti na kwetu huku.Kumbe sasa suluhisho la kupunguza hayo mauozo ni kubadili sheria hiyo kwanza ya mtu kuswekwa ndani bila uchunguzi kukamilika.Lakini pia sijui mtu alieua,aliebaka anaachwa vipi aendelee kupeta kitaa akisubilia uchunguzi.
 
Huyo Wankyo na wenzie wana ukwasi wa kutisha ndiyo maana pozi kama watu wazima. Biswalo akiwatengenezea pepo kupitia Plea Bargain
Wankyo inasemwa kuwa anaishi hotelini (analipia chumba cha hoteli) ili awe karibu na mahakama. Haya ndio matokeo ya Ukwasi wa kutisha
 
Halafu taarifa binafsi huwa chini ya HR. Je, ingepunguza nini kutoa taarifa tu bila personal details ambayo inapaswa kubaki confidential?
Na hivi zilivyotolewa kwa umma zimeongeza au kupunguza nini?
 
Back
Top Bottom