DPP Mwakitalu ondoa uchafu huu ofisini kwako; Ukipuuza usitulaumu

Wankyo inasemwa kuwa anaishi hotelini (analipia chumba cha hoteli) ili awe karibu na mahakama. Haya ndio matokeo ya Ukwasi wa kutisha
Dah,inawezekana, Dogo ana mikogo aisee na kiburi fulani, Mwendazake aliwapa Sana kiburi ,

Ila Dpp mwakitalu Kuna kitu inabidi akifanyie kazi kwenye hizi mahakama au kwenye suala la kesi, mfano unakuta eti kesi ina miaka zaidi ya miaka mitano, mshtakiwa yupo nje kwa dhamana au yupo gerezani,kila siku anaambiwa upelelezi eti haujakamilika, Upelelezi gani wakuchukua miaka mitano au mitatu?!!
Inabidi hili suala DPP Mwakitalu alifanyie kazi
 

Duuuuh
 

Mimi sina conflict of interest yoyote kwenye hili swala. Kuwa muungwana; don’t abuse social media platforms. They aren’t weapons for harassing people with. Mpaka sasa bado hujatuambia relevance ya personal information (DOB, bank accounts, passport numbers, email addresses, telephone numbers) za victims wako kwenye hizo tuhuma ulizotoa katika bandiko lako. Simtetei mtu yeyote, lakini sikubaliani na tabia ya kutuhumu watu bila ushahidi. Mtuhumu mtu kwa ushahidi.

Usidhalilishe jina la Mungu hapa. Ungekuwa mcha Mungu usingeamua kutumia vibaya social media kunyanyasa watu. Huwezi kuwa mcha Mungu halafu ukatuhumu watu bila ushahidi.
 
Wankyo ameshahamishiwa dodoma ,kaenda kuwa mwendesha mashtaka wa kawaida nasikia
 
Na hivi zilivyotolewa kwa umma zimeongeza au kupunguza nini?
Kwa nini wewe basi huweki your true personal details mtandaoni ??? Nadhani unaelewa cybercrimes huanzia kwa kutumia taarifa zipi.
 
Duh yaani wewe unahamisha maafisa wa Serikali utadhani una madaraka haya....

Wankyo kwa mfano ana kosa lipi la weledi au kimaadili....???

Ni kweli ofisi hiyo ilitumika sana kuumiza watu lakini siamini kujua account ya mtu ndio inatosha kumtoa kwenye nafasi yake...

Tumsaidie DPP asirithi maadui za watu yeye apime mwenyewe..Mfano Yuko Mwanasheria Nemc pale alikua anazusha na kuitumia ofisi hiyo kujinufaisha kuunda mtandao kuumiza watu...Hao ajihadhari nao
 
Duh yaani wewe unahamisha maafisa wa Serikali utadhani una madaraka haya....

Wankyo kwa mfano ana kosa lipi la weledi au kimaadili....???
"Wankyo ameshahamishiwa dodoma, kaenda kuwa mwendesha mashtaka wa kawaida nasikia" Jay Cruel
 
"Wankyo ameshahamishiwa dodoma, kaenda kuwa mwendesha mashtaka wa kawaida nasikia" Jay Cruel
Vipi Kuna ukweli katika hilo mkuu, Dpp mpya anastahili pongezi Sana,halafu tangu aingie yeye naona case za kipuuzi na zisizo na Ushaidi wa kueleweka zinapigwa chini Sana,
 
Wewe jamaa noma sana aisee. Umewafanyia utafiti na ukawachimbua chimbua na umewapata kwa uhakika kabisa...

Inaelekea una jambo zito sana juu yao. Kwa sababu, I can't believe kuwa, umefanikiwa mpaka kupata hadi taarifa zao nyeti kama vile;

1. NIDA IDs zao

2. Tarehe ya kuzaliwa kila mmoja

3. Travelling passport numbers zao

4. Bank Account zao...

This is an indication kuwa, hata wewe siyo wa kawaida wala wa taratibu..

Nawaonea huruma hao wanawake ambao always are weak ambao kwa kuumbuliwa hivi na I am sure underwears zao zinaweza kuwa zimelowa kwa sasa...
 
Mzee baba una mwaga madini mpaka nakumbuka enzi za Law school
 
Mmh kuna harufu ya hizi details kama zinatoka kwake "Biswa".

Yawezekana hao ndio waliomchoma na kumuweka kikaangoni.

So amerudi kwa kisasi yani kama mbwai na iwe mbwai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…