DPW wameanza kazi?

DPW wameanza kazi?

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Nakumbuka DPW baada ya vuta nikuvute walisaini mkataba wa kuanza kazi. Swali langu. Je wameishaanza kazi?. Kama wameanza kazi wametulipa dollar ngapi?. Na kama bado kuna tatizo gani?.
 
Nakumbuka DPW baada ya vuta nikuvute walisaini mkataba wa kuanza kazi. Swali langu. Je wameishaanza kazi?. Kama wameanza kazi wametulipa dollar ngapi?. Na kama bado kuna tatizo gani?.
DP World ni kampuni ya watanzania wenzetu, wanasubiri waibe hela za Miradi kisha ndio waagize mitambo. Pitia kwenye ile mikataba kama Kuna popote kiongozi wa Emirates kasaini mle, ila hapa kwetu rais kaweka Saini kabisa.
 
Back
Top Bottom