Dr. Abbas: Siyo CAG tu anayebanwa na Katiba bali hata Rais wa JMT ana masharti yanayomuongoza katika utendaji wake

Dr. Abbas: Siyo CAG tu anayebanwa na Katiba bali hata Rais wa JMT ana masharti yanayomuongoza katika utendaji wake

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716


Msemaji wa serikali ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, haki za binadamu na kustaafu kwa CAG.

Dr Abbas amesema ukiachalia mbali CAG hata Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewekewa kanuni zinazombana na kumuongoza katika utendaji wake wa kila siku.

Kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Dr Abbas amesema mambo yote yamekwenda vizuri na wenye malalamiko watasikilizwa.

Kadhalika amewataka wananchi kuwapuuza watu wanaojiita "wachambuzi wa siasa" kwa kuwa watu hao wamejaa ubabaishaji na uchochezi.

Chanzo: Star tv habari
 
Serikali ndiyo inatakiwa kuwa-prove wrong hawa wawanaojiita wachambuzi wa siasa ili wanachi tuweza kuwapuuza.

Ikishindwa kufanya hivyo hawa wachambuzi watapata milage kubwa sana na hatinaye kusababisha uchochezi
 
Hivi bunge uchwara la Ndugai litakaa lini kumpa malaika mamlaka ya kutengua atakavyo?

"Haiwezekani katiba inipe mamlaka ya kuteua kisha ininyime mamlaka ya kutengua"
 
CAG Kichere kaambiwa afuate na atii maelekezo ya mihimili yote ya Nchi wakati Katiba inamtaka awe independent na asipokee maelekezo wala maagizo kwenye Utekelezaji wa kazi zake hili nalo linahitaji wachambuzi wa Kisiasa?

Auditor kaamrishwa kufuate maelekezo ya auditee hatare sana
 
Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania

Endelea kuchapa kazi Wale wasaliti wa nchi sijui wataweka wapi sura zao
 
Na hio ndio Ccm inayosema inapambana na ufisadi/wizi wa mali za umma.
CAG Kichere kaambiwa afuate na atii maelekezo ya mihimili yote ya Nchi wakati Katiba inamtaka awe independent na asipokee maelekezo wala maagizo kwenye Utekelezaji wa kazi zake hili nalo linahitaji wachambuzi wa Kisiasa?

Auditor kaamrishwa kufuate maelekezo ya auditee hatare sana
 
6 November 2019
Dr. Abbas abanwa na maswali magumu toka kwa waandishi wa habari

Source: DarMpya TV
 
Serikali ndiyo inatakiwa kuwa-prove wrong hawa wawanaojiita wachambuzi wa siasa ili wanachi tuweza kuwapuuza.

Ikishindwa kufanya hivyo hawa wachambuzi watapata milage kubwa sana na hatinaye kusababisha uchochezi
Kina Musiba?
 
Msemaji wa serikali ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, haki za binadamu na kustaafu kwa CAG.

Dr Abbas amesema ukiachalia mbali CAG hata Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewekewa kanuni zinazombana na kumuongoza katika utendaji wake wa kila siku.

Kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Dr Abbas amesema mambo yote yamekwenda vizuri na wenye malalamiko watasikilizwa.
Kadhalika amewataka wananchi kuwapuuza watu wanaojiita "wachambuzi wa siasa" kwa kuwa watu hao wamejaa ubabaishaji na uchochezi.

Source Star tv habari
Huyo jamaa msemaji wa Serikali hana vyeti na hata kama anavyo kichwani ni mweupe atakuwa kanunua vyeti ama alisoma kiujanja janja kwa kukariri, mambo ya msingi anayachukulia poa hicho cheo cha msemaji wa Serikali kifutwe kwani hakina maana tena.
 
Huyo jamaa msemaji wa Serikali hana vyeti na hata kama anavyo kichwani ni mweupe atakuwa kanunua vyeti ama alisoma kiujanja janja kwa kukariri, mambo ya msingi anayachukulia poa hicho cheo cha msemaji wa Serikali kifutwe kwani hakina maana tena.
Hana vyeti wakati ni Ph.D holder?!
 
Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania

Endelea kuchapa kazi Wale wasaliti wa nchi sijui wataweka wapi sura zao

We mbona unahangaika sana kila topic upo kibaya zaidi huna hoja ni kama wale wamama wa mkoleni!! Hali ya nchi ni tete we unapigia zumari wanaoiharibu. Kama nyie ndio vijana wa kutetea nchi basi we are in a deep shit!
 
We mbona unahangaika sana kila topic upo kibaya zaidi huna hoja ni kama wale wamama wa mkoleni!! Hali ya nchi ni tete we unapigia zumari wanaoiharibu. Kama nyie ndio vijana wa kutetea nchi basi we are in a deep shit!
Mwanzoni nilikuwa namshangaa huyo Kunguni wa kijani, lakini baada ya kujua ni mwezi mchanga nikaachana naye.
 
Back
Top Bottom