Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wa wekundu wa Msimbazi?!Huo ndio ufafanuzi wa Msemaji wa Serikali? Ni heri HAJI MANARA angechukua nafasi hiyo.
Mkuu umeshakunya kabla ya kupost hapa?Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania
Endelea kuchapa kazi Wale wasaliti wa nchi sijui wataweka wapi sura zao
Msemaji wa serikali ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, haki za binadamu na kustaafu kwa CAG.
Dr Abbas amesema ukiachalia mbali CAG hata Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewekewa kanuni zinazombana na kumuongoza katika utendaji wake wa kila siku.
Kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Dr Abbas amesema mambo yote yamekwenda vizuri na wenye malalamiko watasikilizwa.
Kadhalika amewataka wananchi kuwapuuza watu wanaojiita "wachambuzi wa siasa" kwa kuwa watu hao wamejaa ubabaishaji na uchochezi.
Source Star tv habari
May be...Msemaji wa serikali ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, haki za binadamu na kustaafu kwa CAG.
Dr Abbas amesema ukiachalia mbali CAG hata Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewekewa kanuni zinazombana na kumuongoza katika utendaji wake wa kila siku.
Kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Dr Abbas amesema mambo yote yamekwenda vizuri na wenye malalamiko watasikilizwa.
Kadhalika amewataka wananchi kuwapuuza watu wanaojiita "wachambuzi wa siasa" kwa kuwa watu hao wamejaa ubabaishaji na uchochezi.
Source Star tv habari
tena zile karatasi lainiDr. Anaongea Kirahisi ivi kwenye mambo yenye maslahi ya taifa .
PhD zingine ni makaratasi tu.
Acha kejeli mkuu!tena zile karatasi laini
Wewe kilaza wa lumumba Tumia ubongo wako vizuriHongera Magufuli kwa kujali Watanzania
Endelea kuchapa kazi Wale wasaliti wa nchi sijui wataweka wapi sura zao
Tatizo mtukufu na Naibu Rais Daud Bashite wamewadharau watanzania kwa kiwango cha kutisha ndiyo maana huwafanya wajingaCAG Kichere kaambiwa afuate na atii maelekezo ya mihimili yote ya Nchi wakati Katiba inamtaka awe independent na asipokee maelekezo wala maagizo kwenye Utekelezaji wa kazi zake hili nalo linahitaji wachambuzi wa Kisiasa?
Auditor kaamrishwa kufuate maelekezo ya auditee hatare sana
Wewe kilaza wa lumumba Tumia ubongo wako vizuri
Wewe ulitaka asemeje?!Msemaji wa serikali anaongea kama mtu asiyeenda shule kabisa
Asante sana mkuu hawa mashetani wa CCM hawana akiliChunguza kwa umakini mkuu 100% ya watetezi wa CCM mitandaoni ni mbumbumbu na vilaza wakubwa Bado wamekariri kuwa watanzania ni wajinga
Yupo kama mtoto wa darasa la tano C?Dr. Abas ana IQ ndogo sana hasa katika kuchambua mambo.