Dr. Abbas: Siyo CAG tu anayebanwa na Katiba bali hata Rais wa JMT ana masharti yanayomuongoza katika utendaji wake

Dr. Abbas: Siyo CAG tu anayebanwa na Katiba bali hata Rais wa JMT ana masharti yanayomuongoza katika utendaji wake

Huo ndio ufafanuzi wa Msemaji wa Serikali? Ni heri HAJI MANARA angechukua nafasi hiyo.
 
Abasi aache ujinga.. wananchi tuna hasira zetu.
Msemaji wa serikali ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, haki za binadamu na kustaafu kwa CAG.

Dr Abbas amesema ukiachalia mbali CAG hata Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewekewa kanuni zinazombana na kumuongoza katika utendaji wake wa kila siku.

Kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Dr Abbas amesema mambo yote yamekwenda vizuri na wenye malalamiko watasikilizwa.
Kadhalika amewataka wananchi kuwapuuza watu wanaojiita "wachambuzi wa siasa" kwa kuwa watu hao wamejaa ubabaishaji na uchochezi.

Source Star tv habari
 
Kama kuna mtu anani put-off nikiona statement zake ni huyu msemaji, mara mia angekuwa hata mganga wa kienyeji, anaongea na sisi kama watu ambao hawana akili, mbumbumbu sporadic and miopic. Shithole, kuna mambo yanatia hasira. Time will tell.
 
Msemaji wa serikali ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, haki za binadamu na kustaafu kwa CAG.

Dr Abbas amesema ukiachalia mbali CAG hata Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewekewa kanuni zinazombana na kumuongoza katika utendaji wake wa kila siku.

Kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Dr Abbas amesema mambo yote yamekwenda vizuri na wenye malalamiko watasikilizwa.
Kadhalika amewataka wananchi kuwapuuza watu wanaojiita "wachambuzi wa siasa" kwa kuwa watu hao wamejaa ubabaishaji na uchochezi.

Source Star tv habari
May be...
 
CAG Kichere kaambiwa afuate na atii maelekezo ya mihimili yote ya Nchi wakati Katiba inamtaka awe independent na asipokee maelekezo wala maagizo kwenye Utekelezaji wa kazi zake hili nalo linahitaji wachambuzi wa Kisiasa?

Auditor kaamrishwa kufuate maelekezo ya auditee hatare sana
Tatizo mtukufu na Naibu Rais Daud Bashite wamewadharau watanzania kwa kiwango cha kutisha ndiyo maana huwafanya wajinga
 
Wewe kilaza wa lumumba Tumia ubongo wako vizuri

Chunguza kwa umakini mkuu 100% ya watetezi wa CCM mitandaoni ni mbumbumbu na vilaza wakubwa Bado wamekariri kuwa watanzania ni wajinga
 
Chunguza kwa umakini mkuu 100% ya watetezi wa CCM mitandaoni ni mbumbumbu na vilaza wakubwa Bado wamekariri kuwa watanzania ni wajinga
Asante sana mkuu hawa mashetani wa CCM hawana akili
 
Back
Top Bottom