Dr. Abbas: Tenda ya ujenzi wa reli ya SGR kutoka Mwanza-Isaka itatangazwa wakati wowote

Dr. Abbas: Tenda ya ujenzi wa reli ya SGR kutoka Mwanza-Isaka itatangazwa wakati wowote

Kuna vitu sijavielewa katika taarifa hii ambyo chini yaonekana kama imeandikwa na idara ya habari maelezo.

Chanzo chake ni hivyo TV iliyotajwa au aliyeandika ameshindwa kutafsiri sahihi kutoka katika hicho chanzo chake?

Vinginevyo, tuelezwe kutoka makutupora hadi isaka hii reli itapita hewani? Sikumbuki kusikia tenda ya ujenzi wa reli hiyo kutoka makutupora hadi isaka, ikoje hii.

Na pia taarifa hii imelenga kueleza nini hasa na kwa hadhira gani, kwani imechanganya vitu vingi lakini ambvyo havina maelezo ya kutosha.

Pia, nijuavyo MV Victoria haijengwi, Bali inakarabatiwa kama ilivyo MV butiama
 
Halafu sasa hivi wamekuja na utapeli wa kutaja mambo kwa Percentage na zote ni above 80. Utasikia elimu bure utekelezaji ni zaidi ya 90%, mapambano ya rushwa mafanikio ni zaidi ya 85%, miradi yote asilimia huwa ni zaidi ya 80%. Uchunguzi wa takukuru ni 99%. Ukifuatilia vizuri huu utapeli ni wa jiwe toka akiwa waziri alikuwa anatoa taarifa za kupika na alikuwa anatumia mtindo wa hadaa kwa kipimo cha asilimia. Sasa hivi kawa mkulu ndio kawaambukiza wote huo uongo wake.
Atokee muandishi wa habari amuulize 100% ya 100 ni ngapi? Tuone atakavo kimbilia kuongea Ki Corona Virus!
 
This time mangesho watapewa tenda.
 
Ngoja tutatafuta hiyo clip ya CNBC Africa .

March 1, 2020
Kwa sasa ni kutoka MAELEZO
Dodoma, Tanzania

Msemaji wa Mkuu wa serikali akizungumza na waandishi wa ndani



Source: MAELEZO
 
Makutupora-Tabora-Isaka tayari tenda ya kandarasi ilishatangazwa au wameamua kuanzia Isaka-Mwanza kwanza?
 
Hawa watu wanapishana kauli..
TRC kupitia TV yao wanasema Dar Moro ni 73pc
Moro Makutupora au la ni 25
Hawa wanatuongezea tarakimu

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanasahau jamvi hili makini la habari limesheheni taarifa zote kwa kina kuhusu masuala yote.

Idara ya Habari ya Wananchi iliyo huru hapa JamiiForums ina taarifa za kutosha toka vyanzo vyote na clips za video / audio, machapisho, nukuu toka media zote.
 
Ndo kipaumbele chetu lkn? au ni dela kama yalivyomengine ya 10%?
 
Au siyo, sasa yule aliyesema baada ya miaka 15 ni muongo eti,,, ndiyo maana mm huwa nakipenda chama changu kinatekelesa,,, chichiem oyeeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
marehemu Ghadaffi akili zake kwa Prof. Mahallu nikamchomea na kiwanda cha mbolea Twiga cement na wanamtandao masalia kuliko Musoma na Ottu Jazz Band .....

Unaangaika kukosoa wakati mimi niliyeandika nimeshindwa kuedit...
 
Back
Top Bottom