Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Wauwaji wameshajianika "nyeti za kuku ziko hadharani baada ya kijiupepo..."Katinu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally amewaonya makada wa CCM kuacha kutoa kauli tata kwenye hadhara na mitandaoni zinazoihusisha CCM na vitisho dhidi ya wapinzani.
Source: Mwananchi