Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Wauwaji wameshajianika "nyeti za kuku ziko hadharani baada ya kijiupepo..."Katinu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally amewaonya makada wa CCM kuacha kutoa kauli tata kwenye hadhara na mitandaoni zinazoihusisha CCM na vitisho dhidi ya wapinzani.
Source: Mwananchi
Maana yake mmechelewa kujirekebisha,..Ndio nini? au basi tu uonekane umeni quote kwa ID yako hiyo mpya!
mxeweeew!
Dr bashiru atuachie CCM yetu, wenyewe tushazoea kufanya tunachotaka ndio maana slowslow kasema hata kama mbunge wa ccm anavurunda tumuache..na kila mmoja huku ccm yetu kambale atuache kama tulivyo
Chukua gunzi ukune kinyeo chako mkuu!Maana yake mmechelewa kujirekebisha,..
Ndimi mbili kama Paco njaaKatinu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally amewaonya makada wa CCM kuacha kutoa kauli tata kwenye hadhara na mitandaoni zinazoihusisha CCM na vitisho dhidi ya wapinzani.
Source: Mwananchi
Mnapoambiwa na Marekani mnapanga mauaji ya Watanzania wenzenu mnamtuma kahaba wa kiume Msendo kuandika barua za kujikosha. Mwenyekiti wa UV CCM Taifa kaamuru vijana kuwadhuru Zitto na Mbowe popote watakapowaona iwe hotelini, sokoni au kwenye ndege.Katinu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally amewaonya makada wa CCM kuacha kutoa kauli tata kwenye hadhara na mitandaoni zinazoihusisha CCM na vitisho dhidi ya wapinzani.
Source: Mwananchi
Awaambie polisi wachukue hatua stahili kwa sababu ni dhairi wanavunja sheria.Katinu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally amewaonya makada wa CCM kuacha kutoa kauli tata kwenye hadhara na mitandaoni zinazoihusisha CCM na vitisho dhidi ya wapinzani.
Source: Mwananchi
Mkuu wanatekeleza Ilani ya CCM Wacha watoe zinahifadhiwa tuKatinu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally amewaonya makada wa CCM kuacha kutoa kauli tata kwenye hadhara na mitandaoni zinazoihusisha CCM na vitisho dhidi ya wapinzani.
Source: Mwananchi
Hizo hapo, hawa wajinga wamejikanyagaUzi usindikizwe na video za kauli hizo basi. Mi nakumbuka alimuonya kijana mmoja kwenye mazishi ya marehemu Mengi ila ka video sina.
Kama wanabaguliwa ni si bora TRA iachane na wapinzani wa CCM? Iwe mtu akienda TRA na kuonesha kadi ya chama kingine mbali ya CCM basi awe anasamehewa kodi.Hahaha sio tu halali wao ndio hutozwa zaidi. CCM kuna vimemo na kubebana, ukijulikana mpinzani halafu unabiashara utakoma nchi hii. TRA utalala nao kitandani kwako.