Apollo tyres
Senior Member
- Nov 16, 2024
- 109
- 286
Hii Taarifa nimedokezwa na Wadau wa kanazi kuwa Dr Bashiru anataka udiwani wa kata kanazi.
Kama ni kweli basi nadhani ameamua kujiua kisiasa na kukubali matokeo.
Kama ni kweli basi nadhani ameamua kujiua kisiasa na kukubali matokeo.