Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Bunazi ndo ipo misenyi , hiyo kanazi ni juu ya kemondo hapoKanazi mbona ipo Missenyi ukiwa unaenda Mutukula na sio Bukoba Vijijini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bunazi ndo ipo misenyi , hiyo kanazi ni juu ya kemondo hapoKanazi mbona ipo Missenyi ukiwa unaenda Mutukula na sio Bukoba Vijijini?
Bashiru wa pale Yombo - UDSM ni tofauti na Bashiru wa CCM.Bashiru asikilize ,tamko la Mwenyekiti Taifa Chadema , ajiunge Chadema , milango imefunguliwa
Sasa afanye kazi gani? Mana akirudi Jalalani ni usumbufu tu. Bora awe katani kwake na wananchi wake ili kumalizia maisha yake. Unajua kuna muda unakubali matokeo ili kuepuka purukushani kubwa kubwa!Hii Taarifa nimedokezwa na Wadau wa kanazi kuwa Dr Bashiru anataka udiwani wa kata kanazi.
Kama ni kweli basi nadhani ameamua kujiua kisiasa na kukubali matokeo.
Kuna Bashiru mwingine wa MAPINDUZI UTD! Anapiga mpira kinoma noma, You Know 😂 Mie napenda kumuita KIJEBA, You Know 😂Bashiru wa pale Yombo - UDSM ni tofauti na Bashiru wa CCM.
Nina hakika hawa wawili wakikutana lazima zipigwe!!
Kanazi mbona ipo Missenyi ukiwa unaenda Mutukula na sio Bukoba Vijijini?
Na wewe unagombea wapi?
Sasa si bora astaafu tu kuliko anachotaka kufanya.Hii Taarifa nimedokezwa na Wadau wa kanazi kuwa Dr Bashiru anataka udiwani wa kata kanazi.
Kama ni kweli basi nadhani ameamua kujiua kisiasa na kukubali matokeo.
Serious meya kutoka katibu mkuu kiongozi na katibu mkuu ccm.?Utakuwa hujui anacholenga hapo! Hapo wanaangalia Umeya!