Tetesi: Dr Bashiru Makamu Mwenyekiti Bara

Tetesi: Dr Bashiru Makamu Mwenyekiti Bara

Nimemuona wa kwanza hapo tayari...

Ngoja waje akina Luca, Choice na wafananao...pengine watakuwa na neno kuhusu Sukuma gang!

Kaka nipo hapa,sioni Bashiru akiwa makamu kwa sababu zifuatazo.

1.Makuzi yake ndani ya Chama
Bashiru hajakulia chamani aliokotwa tu pale UD akapachikwa na JPM.Kwakua hakukua na uhuru ilibidi wakubali.

2.Kukubalika kwa Bashiru na Samia pamoja na wenyeviti CCM mikoa.
Kutokana na hali ya Chama sasa Samia inabidi apendekeze majina ya watu ambao watapigiwa kura na kamati kuu NEC wale 25.
Hii itamfanya aweze kufanya kazi na watu na tawala za mikoa za kichama.
Bashiru ataleta masuko mkubwa sana kwa Chama.

Lasivyo Chama kitapata shida,Wapo wazee wengi wanao kubalika kichama na heshima yao ni kubwa.Kuna Olesendeka,Anton Dialo,Mwakyembe,Geogre Mkuchika na wengine wengi
Mkuu, kweni huyu Bashiru si yule alikuwa Katibu Mkuu CCM ambaye alisema cheo kile cha KM (CCM) ni kikubwa sana kwake na hatapenda kupewa cheo kingine? AU yupi huyo! Ngoja tuone
 
Mkuu, kweni huyu Bashiru si yule alikuwa Katibu Mkuu CCM ambaye alisema cheo kile cha KM (CCM) ni kikubwa sana kwake na hatapenda kupewa cheo kingine? AU yupi huyo! Ngoja tuone
Ni hiyo huyo ila Kabla ya kuwa hapo Bashiru alikua CUF na mkufunzi UDSM.Pia alikua mchambuzi mzuri wa siasa za Tanzania

Magu akambeba hivyo hivyo na kumpa cheo watu hawakuweza kuhoji sababu aliendesha chama kwa kauli ya ndio mzee
 
Ni hiyo huyo ila Kabla ya kuwa hapo Bashiru alikua CUF na mkufunzi UDSM.Pia alikua mchambuzi mzuri wa siasa za Tanzania

Magu akambeba hivyo hivyo na kumpa cheo watu hawakuweza kuhoji sababu aliendesha chama kwa kauli ya ndio mzee
OK, kumbe ndio yeye! Nadhani hawezi tena kukubali; maana namuona kama mtu makini ambaye hapendi kutwezwa, lakini lolote linaweza kutokea maana Mwanasiasa kinyonga.
 
Heshima sana wanajamvi,

Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Msaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.

Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.

Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.

Ngongo kwasasa Harare.
Ngongo kwasasa Harare Ngongo unanikumbusha mambo ya Mzee Tupatupa wa Lumumba.
 
Mimi naona Ummy Mwalimu ni waziri Mkuu ajaye. Na atakuwa waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Tz.
Nikukumbushe tu kwamba mwa 2017. JPM Aliwahi kumwonya Ummy Mwalimu kuhusu kusagia Kuguni Doroth Gwajima alipofichua maovu wa wizara ya Afya.
Baadaye Ummy alingolewa wizara ya Afya na Doroth Gwajima Akapewa wizara hiyo.
Ummy mitandao ya kisiasa na kifisadi imemwangusha. JPM alimwonya ili abadilike. Sasa amekutana na Chura Kiziwi!
 
Hapo raia mbili l
Heshima sana wanajamvi,

Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Msaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.

Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.

Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.

Ngongo kwasasa Harare.
azima ziingie ktk hiyo nafasi (Mama wa Tanga & Katibu mkuu mstaafishwa)
 
Heshima sana wanajamvi,

Taarifa nyeti chini ya carpet Dr Bashiru Katibu Mkuu Msaafu na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafishwa anatarajiwa kuchukua mikoba ya Lt Col Kinana.

Katika hatua ya kujiondoa taratibu kutoka kambi ya Wazee wa kulamba asali Mama wa Kizimkazi kaamua kijikita zaidi huko Kanda ya Ziwa ili kujiakikishia kura za kutosha.

Sasa ni wazi mkakati wa kukisambaratisha kile chama kilichoshindikana kusambaratishwa kupitia Mch asiye na kanisa umeshindikana kabisa.Mch anaokena kituko na kichekesho.

Ngongo kwasasa Harare.
Msalimie Mnanangwa.
 
OK, kumbe ndio yeye! Nadhani hawezi tena kukubali; maana namuona kama mtu makini ambaye hapendi kutwezwa, lakini lolote linaweza kutokea maana Mwanasiasa kinyonga.
Akiteuliwa atakubali ila hapo kwenye kuteuliwa ndio pagumu mazingira sio rafiki kwake,Mama atasusiwa Chama.
 
Nikikumbuka zile picha za mwanzo mwanzo baada ya Samia kuapishwa kuwa Rais kuna moja Kakurwa alikuwa anamuangalia kwa woga Rais na kuna stori nyuma yake kuwa yeye ndiye alikuwa kinara kupinga asiapishwe, na hii habari kama ni kweli ndiyo uthibisho wa ile kauli kuwa kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, bali kuna malengo ya kudumu na malengo ya CCM ni kuendelea kushika dola.
Anatakiwa kumvusha mama mengine baadae.
 
JF kwa data za chini ya kapeti, kiboko!.
P
Kwa chini ya capeti sawa ila mdundo wa madam na Dr hauchezeki vinginevyo 1 akubali kuwa ndiyooo mzee na ndyo maana hata ule mdundo wa kijana wa A town ulidum kwa mda ngoma ikabaasiti... huo mdundo Akitaka mama aucheze vzr amrudishe yule mwendapole, then amuachie pass winga wa A town, halafu dr awe hapo kulia ampe pro mrejeshwa, aweke pamba masikioni kama miez 6 nadhani hapo ndip ntakuwa Ameunda njano fc ila hii ya dk za jiooooooon itakuwa kama ya nyekundu DC....
 
Kaka nipo hapa,sioni Bashiru akiwa makamu kwa sababu zifuatazo.

1.Makuzi yake ndani ya Chama
Bashiru hajakulia chamani aliokotwa tu pale UD akapachikwa na JPM.Kwakua hakukua na uhuru ilibidi wakubali.

2.Kukubalika kwa Bashiru na Samia pamoja na wenyeviti CCM mikoa.
Kutokana na hali ya Chama sasa Samia inabidi apendekeze majina ya watu ambao watapigiwa kura na kamati kuu NEC wale 25.
Hii itamfanya aweze kufanya kazi na watu na tawala za mikoa za kichama.
Bashiru ataleta masuko mkubwa sana kwa Chama.

Lasivyo Chama kitapata shida,Wapo wazee wengi wanao kubalika kichama na heshima yao ni kubwa.Kuna Olesendeka,Anton Dialo,Mwakyembe,Geogre Mkuchika na wengine wengi
Unajua ile nafasi wa katibu mkuu kiongozi uteuliwa watu wa aina gani? Ingawa akukaa muda mrefu.

Kijuu juu unaweza kusema kwamba makuzi yake akulelewa, lakini behind the scene akawa ametumika sana hadi huko unaposema alipokuwepo KAFU

Ushangai mtu mgeni anawezaje kuzitambua mali za chama kwa muda mfupi? Hii alikuwa mwenyekiti wa kamati wa kufuatilia mali za chama.

Usisahau ccm na Tysso(sijakosea hapa) fungua code ni baba na mama mmoja.
 
Back
Top Bottom