johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unakwenda na wakati safi sana,you reminds me about Coling Power, alivogombea Obama alimuunga mkono na kukisaliti chama chake alipoulizwa akasema yeye yuko hivoHii ni kasi ya 5G kwa kweli.
Leo ukienda Lumumba mabisi ni Chongolo, Mndeme na Shaka ukiwaulizia akina Bashiru na Polepole unaambiwa hao Boss wao ni Spika Ndugai.
Ukienda Hai ndio hivyo tena ukimuulizia DC Ole sabaya unaambiwa kwa sasa Boss wetu ni DAS.
Eid Mubarak!
Hiii imenishangaza sana! Yaani kajengewa "fulu suti"... Mbandambanda flani hivi! Maskini wamekosa hata tofali miatano tu?Na leo Ukienda Chato eti Jiwe kafunikwa tu na matakataka kibao ya nyasi kavu chini ya Kibanda kibovu cha Mabati, zile kelele zake zote kwishaaa
Acheni Mungu aitwe Mungu...bado Faru Job
Hahahaaaa.......!Unakwenda na wakati safi sana,you reminds me about Coling Power, alivogombea Obama alimuunga mkono na kukisaliti chama chake alipoulizwa akasema yeye yuko hivo
Ile ni temporaryHiii imenishangaza sana! Yaani kajengewa "fulu suti"... Mbandambanda flani hivi! Maskini wamekosa hata tofali miatano tu?
Kweli ukifa ndo umekufa!.. Hatimaye Jiwe ndani ya mabati na Nyasi kavu!
Ndiyo umeandika kitu gani hicho?you reminds me about Coling Power,
Hata kama no tempo! Dah! Basis wasingeweka mibati kabisa wangeweka Tent tu! Na Yale majani na yenyewe ni tempo?Tusubiri kijani kibichi?Ile ni temporary
Pale inajengwa Makumbusho ya JPM!
Wewe ulitaka niandike nini NgoshaNdiyo umeandika kitu gani hicho?
Utameza inzi!misconception
CCM ni CCM
Ingezidi hapo maana storage na memory ni kubwa sana kuliko output. Kompyuta haijatumika kwa uwezo wake maana ingekuwa hatari kwa masalia, tuseme waimba pambio...Hii ni kasi ya 5G kwa kweli.
Leo ukienda Lumumba mabosi ni Chongolo, Mndeme na Shaka ukiwaulizia akina Bashiru na Polepole unaambiwa hao Boss wao ni Spika Ndugai.
Ukienda Hai ndio hivyo tena ukimuulizia DC Ole sabaya unaambiwa kwa sasa Boss wetu ni DAS.
Eid Mubarak!
Ni kwa neema za Mungu tumeondokana na washenzi hawa.Hii ni kasi ya 5G kwa kweli.
Leo ukienda Lumumba mabosi ni Chongolo, Mndeme na Shaka ukiwaulizia akina Bashiru na Polepole unaambiwa hao Boss wao ni Spika Ndugai.
Ukienda Hai ndio hivyo tena ukimuulizia DC Ole sabaya unaambiwa kwa sasa Boss wetu ni DAS.
Eid Mubarak!
Hahahaaaa.....!Ingezidi hapo maana storage na memory ni kubwa sana kuliko output. Kompyuta haijatumika kwa uwezo wake maana ingekuwa hatari kwa masalia, tuseme waimba pambio...
Ccm ni ccm Ila si Ile ya kila moja Ana mapembe tena,na asiye jali,haki na uhuru wa watu,zaidi wenye mawazo mbadala.misconception
CCM ni CCM
Huyo Faru soon yatamkutaNa leo Ukienda Chato eti Jiwe kafunikwa tu na matakataka kibao ya nyasi kavu chini ya Kibanda kibovu cha Mabati, zile kelele zake zote kwishaaa
Acheni Mungu aitwe Mungu...bado Faru Job
Ana nata na beat! Ha ha haa.We mzee una masters ya unafiki..unajua kuhama