Dr. Bashiru, Polepole, Biswalo na Ole Sabaya sasa tunawazungumza kama historia

Dr. Bashiru, Polepole, Biswalo na Ole Sabaya sasa tunawazungumza kama historia

Hiii imenishangaza sana! Yaani kajengewa "fulu suti"... Mbandambanda flani hivi! Maskini wamekosa hata tofali miatano tu?

Kweli ukifa ndo umekufa!.. Hatimaye Jiwe ndani ya mabati na Nyasi kavu!
Lakini kifo si ndiyo njia yetu ya kwenda Mbinguni!? Au wwe hutaki kwenda Mbinguni kwa Baba!!?
 
Lakini kifo si ndiyo njia yetu ya kwenda Mbinguni!? Au wwe hutaki kwenda Mbinguni kwa Baba!!?
Mlango wa kwenda mbinguni ni mwembamba mno!

Tajiri kuiona pepo ni sawa na ngamia(sio mnyama) kupita kwenye tundu la sindano!
 
Huyo Faru soon yatamkuta

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app

Na leo Ukienda Chato eti Jiwe kafunikwa tu na matakataka kibao ya nyasi kavu chini ya Kibanda kibovu cha Mabati, zile kelele zake zote kwishaaa

Acheni Mungu aitwe Mungu...bado Faru Job
Faru job anamalizia malizia kuandika wosia....kwenye urithi hasiwasahau watoto wa vimada wake nje ya ndoa
 
Hata kama no tempo! Dah! Basis wasingeweka mibati kabisa wangeweka Tent tu! Na Yale majani na yenyewe ni tempo?Tusubiri kijani kibichi?
Mataga hata tent mngesema mmekosa bati tu za temp jamani.....waswahili hamna shukrani sababu midomo hamlipi kodi
 
Na leo Ukienda Chato eti Jiwe kafunikwa tu na matakataka kibao ya nyasi kavu chini ya Kibanda kibovu cha Mabati, zile kelele zake zote kwishaaa

Acheni Mungu aitwe Mungu...bado Faru Job
🤣🤣
 
Back
Top Bottom