Mzee ES kachangia vyema asichkuliwe huyu kuwa KIOO...Waislam wana KIOO chao...
Mkuu heshima mbele, unajua wananchi wanpaswa kuelewa maana ya dhamana ya uongozi kwa taifa, unapokuwa kiongozi unakuwa the role model kwa wananchi, sasa unapoamua kuwa mswalihina ili ujia-aline kisiasa na walioko kwenye power badala ya kujia-line na Mungu, unakosea kabisa, ni tabia ambayo sasa inaanza kuwa ni ya kawaida,
Ninawaona viongozi wetu wakienda kuhiji, wakienda Vatican kusafishwa na maji matakatifu, na kurudi bongo wakiendeleana maovu huku wakijiweka sawa kisiasa mbele ya waumini wa dini zao na viongozi flani ambao ni wanasiasa lakini waumini wa hizo dini zao, that is wrong kwa taifa maana kwa Mungu, watajijua wenyewe na Mungu wao, tatizo ni pale wanapojaribu kutudanganya wananchi, maana kama huyu mama ni mswahilina kiasi hataki wakristo wa-practice dini yao kwake, sasa inakuwaje anajirusha na mkristo?
That is all my concern, dini yake sijui na Mungu wake sijui lakini yaliyotokea kule kina mama kati yake na waziri ilikuwa aibu kubwa sana kwa waliojionea, maana haikuwa kwa ajili ya kazi ya taifa bali nani anatembea na nani lakini kwa the expense ya taifa letu, that I have a problem with and I don't care what, it is my dogon business!